killichofanyika usiku huu:
-Mabalozi wa ccm wamepita kuandikisha watu ambao awana shahada lengo kuna shaada zaidi ya 5000 ambazo ni feki zimetengenezwa CHADEMA tuko makini katika uchaguzi huu kuliko mnavyo zania tumejipanga kuwakamata watu awa kila kituo kina mawakala zaidi ya kumi tukibaini halali yetu na tumejipanga vijiji vyote usiku huu wakuamkia kesho tutakaye mkamata pia anaujumu kitaeleweka hapo
-kuhusu swala la kutumia chopa siku ya uchaguzi mpango uko pale pale kwani jimbo la kalenga ni kubwa sana na mgombea wetu lazima akague vituo vyote 216 pia kuwasambazia chakula mawakala wetu.
Ushindi kesho ni asubuhi na mapema
TULIANZA NA MUNGU TUNAENDELEA NA MUNGU NA TUTAMALIZA NA MUNGU
-Mabalozi wa ccm wamepita kuandikisha watu ambao awana shahada lengo kuna shaada zaidi ya 5000 ambazo ni feki zimetengenezwa CHADEMA tuko makini katika uchaguzi huu kuliko mnavyo zania tumejipanga kuwakamata watu awa kila kituo kina mawakala zaidi ya kumi tukibaini halali yetu na tumejipanga vijiji vyote usiku huu wakuamkia kesho tutakaye mkamata pia anaujumu kitaeleweka hapo
-kuhusu swala la kutumia chopa siku ya uchaguzi mpango uko pale pale kwani jimbo la kalenga ni kubwa sana na mgombea wetu lazima akague vituo vyote 216 pia kuwasambazia chakula mawakala wetu.
Ushindi kesho ni asubuhi na mapema
TULIANZA NA MUNGU TUNAENDELEA NA MUNGU NA TUTAMALIZA NA MUNGU