Kinachoendelea Kalenga...

Hata msingizie vipichadema leo ni kichapotu uhuni wenu tumeuchoka jana yule mama yenu katoa rushwa watu wakamdabua jaribu uhuni huo wa kuhonga watu mtaipata.
 
Kweli ushindi ni lazimaaa
 

Attachments

  • 1394948446353.jpg
    1394948446353.jpg
    130.2 KB · Views: 110
chadema wapigwe tu. wakome ubishi. hiki chama nakichukia sana

Ngoja maumivu yakuingie mkuu hasa kwa yaliyowapata Mwanza jana.... poleni sana kwa aibu ya jana afadhari mmejifunza kitu. Kama mwanza mlikotegemea mambo yamekuwa hivyo je Arusha au Moshi au Musoma itakuwaje !!!!?
 
Back
Top Bottom