Kinachobakwa ni Uke na sio Uume, Mahakama ya Rufaa yasema!

Bashir Yakub

Member
May 27, 2013
84
1,562
Mwanaume hawezi kubakwa anayebakwa ni Mwanamke tu. Ni maneno ya tarehe 10/11/2023 ya Mahakama ya rufaa chini ya Majaji watatu.

Ni katika Jinai No.369/2020 Kati ya Jack Mahembega Dhidi ya Jamhuri wakati ikifafanua Kifungu cha 130, Sura ya 16, Kanuni za Adhabu RE 2022.

Mahakama imefafanua kuwa kinachobakwa anacho mwanamke na mwanaume hana kinachoweza kubakwa.

Kinachobakwa ni Uke na hii ni hata kwa kuingiza kidogo tu(Slight Penetration) bila ridhaa ya mwanamke itahesabika amebakwa. Mwanaume hana uke na hivyo hana cha kubakwa.

Imesema kuwa isipokuwa walicho nacho wote wawili mwanaume na mwanamke ni kile kinachoweza kulawitiwa kwa mujibu wa Kifungu cha 154 Kanuni za Adhabu RE 2022.

Ni kwa msingi huu kuwa mwanaume hawezi kubakwa. Hakuna kosa la kumbaka mwanaume. Mwanaume habakwi.

Watu wengi wamekuwa wakijiuliza hili swali kuwa inakuwaje ikiwa mwanamke atamlazimisha mwanaume kufanya nae mapenzi bila ridhaa yake.

Hii ipo na huwa inatokea lakini majibu yake ndio hayo. Ukilazimishwa na mwanamke hujabakwa. Mwanaume habakwi.

Na hii ni hata mwanaume akiwa na umri mdogo akalazimishwa au kushawishiwa na mama mtu mzima. Kwasababu tu ni mwanaume basi huyo mama hajabaka.

Hii haimaanishi kuwa hawezi kushitakiwa, laa hasha. Atashitakiwa lakini kwa makosa mengine ya Jinai dhidi ya Maadili(Offences against Morality) ikiwemo unyanyasaji wa kijinsia nk, lakini sio kubaka.

Mwanaume habakwi, Nadhani sasa tumeelewana Viongozi.
 

Attachments

  • Jack Mahembega vs Republic (Criminal Appeal No369 of 2020) 2023 TZCA 17821 (10 November 2023).pdf
    420.2 KB · Views: 10
Sheria hii ifanyiwe amendment.... sheria ya ubakaji katika nchi ya ujerumani inasema.......endapo mwanamke ataonesha...ushirikiano wowote wakat wa kubakwa kama kukata mauno ......etc huo sio ubakaji..
Ha....ha.....ha....
Pana Ukweli kidogo hapo.

Kwakuwa.
Mwanamke anaweza kulazimishwa kuonesha ushikiano pia.

Cha ajabu utakuta watu wameagana kukutana na kwenda chumbani peke yao na kujifungia ndani huku wakati mwingine mlango upo wazi.

Wanakula wanakunywa pamoja wanafanya kinacho wapendeza hadi wana kinai bila kelele.

Mara ghafla mwanamke anabadilika na kudai kabakwa, kumbe inawezekana hajapewa pesa ya kutosha au alimtegea mwanamme ili amdhalilishe baadae kwa kumsingizia alimbaka.

Hivi mnaingia chumbani kimya, unavua nguo kimya, jamaa anaingiza polepole na anaongozwa vizuri sana kimya, hata kikohozi hakitoki.

Mnaendelea kimya kimya hadi mnajiridhisha.
Halafu mala hooo nimebakwa.
Hili halikubaliki hata kidogo.
Ni unyanyasaji
 
Sheria hii ifanyiwe amendment.... sheria ya ubakaji katika nchi ya ujerumani inasema.......endapo mwanamke ataonesha...ushirikiano wowote wakati wa kubakwa kama kukata mauno ......etc huo sio ubakaji..
Hiyo uteleta room for discussion hamtaafikia mwafaka, Mwanamke anaweza kuonyesha ushirikiano kuhofia maisha yake, kwani akipinga ndio Mwanzzo wa Kupigwa N.K Lakini kule Marekani kuna jambo linakuja kwa kasi sasa hivi unakuta mtu alifanyiwa hivyo akaona sawa tu kwa maana kijana hana maisha wala nini ila baadae anakuja kuwa super rich wanarudi na kesi kama hizi kudai Mgao, yaani bado kidogo itabidi wanaume kama sio mke wako uwe na fomu kabisa mtakayosaini wote kwamba ameridhia kwa moyo wake wote, hajalewa, hajalazimishwa na wala hakuna changamoto yoyote.
 
Sheria hii ifanyiwe amendment.... sheria ya ubakaji katika nchi ya ujerumani inasema.......endapo mwanamke ataonesha...ushirikiano wowote wakati wa kubakwa kama kukata mauno ......etc huo sio ubakaji..
Kwa falsafa za kihuni basi Sheria ya Ujerumani inatoa idhini ya ubakaji

Wahuni wanao msemo wao wanasema "ukibakwa tulia, kuendelea kupapalika papalika kujitoa unakuwa unaikatikia"

Maana yake yule anayebakwa ili ahesabiwe amebakwa inabidi atulie kimya mpaka mbakaji amalize hamu yake

Akiwa katika purukushani za kujiokoa basi zile moves za hapa na pale zitahesabiwa kama anaikatikia
 
Sheria hii ifanyiwe amendment.... sheria ya ubakaji katika nchi ya ujerumani inasema.......endapo mwanamke ataonesha...ushirikiano wowote wakati wa kubakwa kama kukata mauno ......etc huo sio ubakaji..
Kwamba upigwe rungu uwe kimya?
Hyo haipo kokote duniani..
 
Kama Sheria inasema mwanaume mwenye umri mkubwa akiwa na mahusiano na msichana chini ya miaka 17 anahesabika kama amebaka.

Je ikiwa mvulana chini ya miaka 17 ana mahusiano na. Mama wa miaka 30 au zaidi ,
Je huyo mwanamke hawezikuwa mbakaji?

Kuna haja ya kurekebisha Sheria zetu ,,
Zina wabeba Sana jinsia ya kike.
 
Kwa falsafa za kihuni basi Sheria ya Ujerumani inatoa idhini ya ubakaji

Wahuni wanao msemo wao wanasema "ukibakwa tulia, kuendelea kupapalika papalika kujitoa unakuwa unaikatikia"

Maana yake yule anayebakwa ili ahesabiwe amebakwa inabidi atulie kimya mpaka mbakaji amalize hamu yake

Akiwa katika purukushani za kujiokoa basi zile moves za hapa na pale zitahesabiwa kama anaikatikia
Hiii sheria ililetaaa mtafaruku sana nazan mwaka jana au mwaka juz DW au BBC waliweka mjadala kuhusu sheria hii soo kama k ndo inabakwa alafu machne haibakw ibak hivo hvo
 
Ila inaeleweka sana ufafanuzi huu..

Mguu ule hauwezi kudumbukia kama haujasimama.

Ukisimama basi ni hiari na mahitaji ya mwanaume kuamua atende hayo.

Mwanaume akiwa hataki au imegoma hata bakora, mguu utalala tu kibwege na hauwezi kabisaaaaa hapo hata iweje. (Haya nimejifunza kwa waleta malalamiko huku kuhusu zao kugoma wakiomba msaada)

Akili na utakaji unahusu..
 
Nimeshudia mala kibao.
Wanawake wanachezea mboo za watoto wavulana bila ridhaa ya hao wavulana.

Je huo sio Ubakaji?

Wengine wanafikia harua ya kuwanyonya viboro vyao hasa wakati wa usiku wakiwa wamelala na kuwaletea usumbufu Mkubwa sana.

Wengine wanawachezea chezea wavulana bila ridhaa Yao.
Na kuwaingiza kwenye vishimo vyao bila ridhaa Yao.

Hii Mahakama wanai tafsiri vipi ?
 
Back
Top Bottom