Visenti
JF-Expert Member
- Jul 24, 2008
- 1,025
- 333
Hahahaaa, umeniogopesha na mimi...
eeeh ni bora uogope, maana Mh. anajeshi kubwa la kisayansi, anauwezo wa kukupata na kukushugulikia ilivyo.
Hahahaaa, umeniogopesha na mimi...
Jemedari wa umaskini wa nani?[/QUOTE
Wa mtanzania.. Kwanza wewe sio mtanzania, naomba usijihusishe sana katika hii hoja
This is a hard fact!
Lowassa ana siri kubwa moyoni
Lowassa amekuwa kiongozi mkubwa katika taifa hili. Mazuri aliyoyafanya yalionekana na yataendelea kukumbukwa. Kama binadamu hawezi kukosa kasoro hapa na pale, ndio asili ya maisha na kuishi kwa binadamu yeyote.
Kilichokuja kukumbana na bwana huyu katika utendaji wake kama Waziri mkuu na sakata lililolitesa taifa la RICHMOND.
Toka wakati huo Lowassa ameonekana kama shetani, msaliti na fisadi mkubwa wa taifa hili.
Najiuliza ukweli hapa ukoje?
Nijuavyo mradi wa RICHMOND which was a MULT BILLION SHILLINGS CONTRACT, hauwezekani ukamhusu Lowassa pekee. Ni lazima cabinet yote ilihusika hatua kwa hatua hadi final conclusion yake.
Kum-single out MTU mmoja kwa jambo ambalo wengi wanapaswa kuwajibika, Its just not fair!
Kwa kauli ya Mkuu wa Nchi, hili kwa Lowassa lilikuwa ni ajali tu, (MANENO HAYA HAKUTAMKA KWA BAHATI MBAYA)
Lakini hata Lowassa mwenyewe kwa kauli yake siku ya kujiuzulu alitabanahisha kuwa anajiuzulu ili "KUKILINDA CHAMA CHAKE NA SERIKALI YAKE", Bila shaka kwa makosa haya ambayo yaneweza kukigharimu chama na serikali yake!
Leo anapigwa vita hadi ndani ya chama hicho alichokiokoa
Najiuliza siku akiamua nayeye kufunguka, Itakuwaje?
Hivi sasa ccm ni chama cha kundi fulani la watu na tayari wana Rais wao.
Lowassa hata akigombea bila kampeni anashinda Urais.
Ukweli ni kwamba mambo mazuri aliyolifanyia taifa hili yanaonekana.
Lowassa ni kama ule mti wa mbuyu uliokatwa Tabora (W) Uyui halafu ukasimama ghafla wenyewe.
Mkuu Toothpick, silence yake ndio silaha yake kubwa na ndio karata yake ya mwisho!.
Wenye akili zao, wameishaelewa!, hebu mfuatilie JK, na Kinana kama wana udhubutu wa kumtaja EL!, hao wanaotaja taja ni wajinga wajinga tuu wasio elewa who's the real one behind Richmond!, EL ni mbebaji tuu wa mizigo ya watu!.
Kimya kingi kina mshindo mkuu, subirieni 2015, kama CCM ina jeuri ya kutomteua, itakuwa ndio imemwaga ugali, naye atamwaga mboga, msioelewa ndio mtaelewa!.
Hivi mtu mwenye akili zake timamu hawezi kujiuliza, kama huyu mtu amejiuzulu kwa kashfa, anawezaje tena sio kuutaka urais, bali hata kuufikiria tuu huo urais?.
Pasco
Waswahihili walisema kimya kingi kinamshindo
Dawa gani za malaria au za kuua mbuUkimnyaa dawa...
Dawa gani za malaria au za kuua mbu
Its too late, hakuna atakayemuamini.
Nothing is too late provided its relevant!
Kama anaona anàonewa so ajitoe tu,si alisema anaweza kuhama? sasa anangpja mini CCM?