Kinacho muangamiza Lowassa ni Ukimya wake!

Kinacho muangamiza Lowassa ni Ukimya wake!

lowassa ni mgonjwa hawezi kuongea labda mumtafutie vidonge vya hamu ya kuongea
 
Ukimya upi??
Mbona mouth pieces zake ziko loud kabisa??
Kama unabisha muulize ocampo four.
 
Last edited by a moderator:
Acha ujinga wewe pimbi. Ni wewe ndio uwe mwelewa. Una lazima ufisadi wa Richmond kwa Lowasa na mbona huwaongelei kina escrow ya 1.6bilion but unamngangania tu Lowasa. Shame on you. Sakata la escrow halina tofauti na Richmond. Mbona Lowasa awajibishwe na si Picha? Kuna nini kama sio chuki zenu Maembe. Ujumbe wangu kwa ko ni kwamba MUNGU ni wa haki siku zote. Endeleeni kumchafua Lowassa ili muweze kulipa kodi ya nyumba. La msingi ni kwamba watanzania sio wajinga tena.
Haya yooooote uliyoandika ni siasa!! na mimi sio mwanasiasa!! hiyo sentensi ya mwisho ndiyo point ya msingi!!! mafisadi hawakubaliki tanzania na duniani kote.
 
This is a hard fact!
Lowassa ana siri kubwa moyoni

Lowassa amekuwa kiongozi mkubwa katika taifa hili. Mazuri aliyoyafanya yalionekana na yataendelea kukumbukwa. Kama binadamu hawezi kukosa kasoro hapa na pale, ndio asili ya maisha na kuishi kwa binadamu yeyote.

Kilichokuja kukumbana na bwana huyu katika utendaji wake kama Waziri mkuu na sakata lililolitesa taifa la RICHMOND.
Toka wakati huo Lowassa ameonekana kama shetani, msaliti na fisadi mkubwa wa taifa hili.

Najiuliza ukweli hapa ukoje?

Nijuavyo mradi wa RICHMOND which was a MULT BILLION SHILLINGS CONTRACT, hauwezekani ukamhusu Lowassa pekee. Ni lazima cabinet yote ilihusika hatua kwa hatua hadi final conclusion yake.
Kum-single out MTU mmoja kwa jambo ambalo wengi wanapaswa kuwajibika, Its just not fair!

Kwa kauli ya Mkuu wa Nchi, hili kwa Lowassa lilikuwa ni ajali tu, (MANENO HAYA HAKUTAMKA KWA BAHATI MBAYA)

Lakini hata Lowassa mwenyewe kwa kauli yake siku ya kujiuzulu alitabanahisha kuwa anajiuzulu ili "KUKILINDA CHAMA CHAKE NA SERIKALI YAKE", Bila shaka kwa makosa haya ambayo yaneweza kukigharimu chama na serikali yake!

Leo anapigwa vita hadi ndani ya chama hicho alichokiokoa

Najiuliza siku akiamua nayeye kufunguka, Itakuwaje?

Too late. Hata akifunguka leo nani atamwamini? Ili aonekane mwadilifu ilimbidi kufunguka wakati ule.
 
Tatizo la vijana wa Joka la mdimu ni wachanga na mwana mfalme anayewaongoza naye anayomatatizo makubwa. Lowassa mtamsema sana lakini siku moja ukweli Wa Richmond utajulikana tu. Na haya mapanga mnayo yanoa uko siku moja mtayatumia dhidi yenu wenyewe. Hofu kubwa ya wengi ni wako traumatized na wanaugua homa ya Lowassa (Lowassa Fever) inayosababishwa na virus uoga. Uoga huu unatokana na dhambi ya kisiasa ilotendwa na baadhi ya myopic CCM cadres dhidi ya Lowassa. Ndiyo dhambi dhidi ya mwamba Lowassa. Ndiyo mkitaka kujua kuwa yeye huko hatua ya mbali kwenye mbio za nyika dhidi ya mahasimu na wapinzani wake Wa kisiasa, kila kuchao jina lake linazidi kutatajwa. Wa kubwa Lowassa, watoto Lowassa, dini zote Lowassa.

Dawa ya wanaougua homa hii ya Lowassa siyo mizegwe. Bahati mbaya sana hakuna tiba ya homa hii, zaidi kinachoweza kufanyanyika ni kuzuia isienee Kwa kukubali ukweli kuwa Lowassa hazuiliki tena!

Lowassa nakuomba tangaza nia ili watu wapone homa yako. Uliposema "tatizo ni uwaziri mkuu" ulikosea tatizo lilikuwa ni urais 2015. 2015 ndiyo hii hapa. Kwa heshima kubwa naomba tangaza nia watu watapona homa ya Lowassa. Wanaugua homa hii zaidi ni wakubwa ambao wanaotaka kutumia mizengwe kukabiliana nawewe lakini hawakuwezi. Kwa nini hawakuwezi? Kwa sababu watanzania wengi wanamtala Lowassa wao. Waamuzi ni watanzania, na wengi wa wao wanamhitaji Lowassa! Najua wengi wataamua sahihi Kama walivyoamua watu wa Sumbawanga majini walivyo amua CHADEMA tosha.
 
siri ya nini, EL ni mpuuzi Fulani tu, mpaka akishgulikiwa ndo anatishia kusema ukweli basi ni fara Fulani tu ambaye hana mapenzi na TZ bali tumbo lake na familia yake

Mkuu hapa umemkosea sana EL, sasa nikuambie miongoni mwa wazalendo wa nchi hii ni EL, kuwahi kuitafuta pesa kwa kufanya biashara isiwe dhambi. Mpaka sasa hivi mmeshindwa kutengeneza katiba bora ya namna viongozi wanaweza kuendesha biashara zao pasipokuwa na mgongano wa kimaslahi. Nahisi kama ni kosa kubwa basi ni yeye kuwahi kufanikiwa kifedha. Kafanya mengi sana mazuri hata kuliko hao wanaojiliza bungeni bila hata kuchukua hatua. EL ni mtu jasiri na mwenye kufanya maamuzi magumu, labda nikujulishe kuwa miongoni mwa watu wanaokubaliwa na wanyonge ni EL. Sishabikii siasa ila huo ndio ukweli na ikitokea akateuliwa basi jua kazi itakuwa nyepesi sana ccm kuliko wengi mnavyodhali. Hakika huu ni ukweli unaouma.
 
Kama kwa Muhongo JK aliomba muda ajilidhishe, itakuwa kwa WAZIRI MKUU EL??? kwa tabia ya JK kujiridhisha nina imani alijiridhisha kabla ya kumpiga chini EL, leo atasema nini hadharani??? alijaribu kusema tatizo la CCM ni uongozi, makamba akambana akasema wa kata ya mto wa mbu, heheheheheh mtu mzima sio jasiri wa mambo ya umma, ni jasiri wa wizi tu

Mkuu labda nikukumbushe tuu kwamba EL hakupigwa chini bali alijiuzuru, kujiuzuru ni ku-respond kwa kuguswa na sakata zima hata hivyo hii isifanye jamaa ahukumiwe kiviile. Kwahiyo ni bora hao ambao hawajiuzuru ili waendelee kuonekana wasafi?
 
Lowasa ni mgonjwa Kama mjuavyo wagonjwa hawapaswi kusema Sana
 
Mkuu labda nikukumbushe tuu kwamba EL hakupigwa chini bali alijiuzuru, kujiuzuru ni ku-respond kwa kuguswa na sakata zima hata hivyo hii isifanye jamaa ahukumiwe kiviile. Kwahiyo ni bora hao ambao hawajiuzuru ili waendelee kuonekana wasafi?

Waziri Mkuu hajihudhuru bila maelekezo ya RAIS, labda huna uwezo wa kuunganisha dots, that is the fact. Yaani tulimfukuza kijanja ili wenye akili ndogo wasijue kafukuzwa aibu ikawa kubwa. Sasa wewe uko pande ipi ya akili?
 
Mkuu hapa umemkosea sana EL, sasa nikuambie miongoni mwa wazalendo wa nchi hii ni EL, kuwahi kuitafuta pesa kwa kufanya biashara isiwe dhambi. Mpaka sasa hivi mmeshindwa kutengeneza katiba bora ya namna viongozi wanaweza kuendesha biashara zao pasipokuwa na mgongano wa kimaslahi. Nahisi kama ni kosa kubwa basi ni yeye kuwahi kufanikiwa kifedha. Kafanya mengi sana mazuri hata kuliko hao wanaojiliza bungeni bila hata kuchukua hatua. EL ni mtu jasiri na mwenye kufanya maamuzi magumu, labda nikujulishe kuwa miongoni mwa watu wanaokubaliwa na wanyonge ni EL. Sishabikii siasa ila huo ndio ukweli na ikitokea akateuliwa basi jua kazi itakuwa nyepesi sana ccm kuliko wengi mnavyodhali. Hakika huu ni ukweli unaouma.

Ujasiri wake upo kwenye kukwapua mali za umma kwa mikataba mibovu ya richmond, hilo tunakubaliana wote. Ujasiri wake mwingine ni kusema anayosiri kubwa, yaani nchi inahaki ya kujua iwapo ametunza siri kwa mambo ya kitaifa huyu ni jambazi wa umma, fedha kuwa nazo sio dhambi suala ni amezipataje? Nyerere alihoji na EL hakuwahi kujibu utajiri wake kaupata vipi? BUNGE LIKISEMA MWIZI UJUE NI MWIZI au huamini BUNGE???
 
Back
Top Bottom