Mkuu Ben, kuna things you can't afford to loose or let it go!, kuliko aseme, wataamua au bora ateuliwe yeye!, (as a reward kwa silence yake), au anyamazishwe jumla!.
Yaani leo Watanzania waambiwe the 'real richmond' ambaye ndiye huyo huyo 'dowans', na ndiye huyu huyu 'simbion!' na usikute anaweza pia kutoa siri za yule mwenye zile 50% ya PAP anayeitwa Simba!, kweli patakalika hapo?!, hapo si ni itakuwa kuifungulia malango yote ya ikulu na Chadema kufanya just a walk over!. Mtu ukiisha jijua na mwizi, na kuna mtu alikuona siku ulipoiba, ama utakuwa tayari kulipia any cost kwa silence yake, au kumyamazisha jumla!. Hili la pili ndilo ninalolihofia!. Hilo la posibility ya kutoteuliwa wala sina shaka nalo!.
Jamaa wa jikoni, anatumia style ya kumtuma kila mtu kugombea, ili wagombea wawe wengi, wakichinjiwa baharini, kiwe ni kilio cha wengi, hivyo ni kama harusi!, nimenong'onezwa kuna mtoto wa jina jema ambaye naye ameshauriwa achukue tuu fomu ili kumuenzi baba yake!, tena subirieni, hao wengi waliojitangaza wengi ni wasindikizaji tuu!, Januari na Mwigulu ni serious kwa kuitumia JK style ya 1995, they are not for 2015 bali wanajiweka tayari for 2025!, na kwa maoni yangu, that will be the time ripe kuwakabidhi the opposition, kina Ben huo sasa ndio utakuwa muda wenu!.
Pasco
Pasco