Kina dada, this is too much

Kina dada, this is too much

Mbona unalialiaaaaa kwani we umejipangaje.....kwa lafudhi ya kichaga....hahahaha pole
 
Kuna mmoja nilimtokea tukapanga miadi baada ya wiki 2 siku ya tatu baada ya kumtokea akaniambia nimuazime200000، na kisema atarejesha after one week,man nikajiuliza je nikikonga nae nyoyo ntamdai? Je akininyima ntamdai? Au ndio bei yake?,je asipotokea? Man nikakata line.
 
Wanawake sikuhiz wamekua majasiri sana yan wengne ukiwaona watt wazuriii lakn mambo wanayoyafanya kama majambazi"
Tumewawezesha sanaa sasa naona wameweza wanataka kutupanda kichwani.
Haya ni ya kweli mkuu. Tena yamenikumba binafsi kabisa yani
 
Huo sio urijali ni ubwege,urijali hauko kwenye kupigwa mizinga,urijali uko kwenye kuitafuna mbunye.

Hata hivyo the strong eats the strong prey,simba au mbwa mwitu hawali msoga uliojifia,hao ni fisi,mimi ni simba sili ease prey kama mizoga.
Ur income constraints ndio upelekea kuongea hivi umekurupuka jombaa unapaswa ujipange,huwezi kuhonga kaa pembeni,utakula vile vya wamama wa kihaya pale temeke,hata ukiwa na dushelele refu mpaka gotini bila mpungu you are nothing,
 
Kina dada this is too much, hata kama ni kupiga mizinga hii imezidi, hii sio mizinga sasa ni makombora ya masafa marefu,

Mtu hamjawahi kuonana mmekutana kwenye mitandao,mnapanga kukutana alafu muda mchacje kabla hamjakutana unaraise invoice ya ajabu ajabu,mara gari haina mafuta kama unaweza niwezeshe,mara sim imeharibika kama unaweza nisaidie niipeleke kwa fundi nije.

Unakubali vipi mtoko kwenda kuonana na mtu ambae hamjawahi kukutana huku gari haina mafuta..

Kwangu mimi kabla hatujaonana hata kumi sitoi, tukishaonana hata useme ndege imeisha mafuta natama hela za kijaza ndege wese.
mbavu zangu
 
Usidhani akikuambia hivyo anakupnda anakupiga mzinga ili usimsumbue mie pia nikiona mtu msumbufu nampiga mzinga tena nyie mna bahati mnaombwa hamsini mie pesa hiyo Ni ya mafuta ya gari naweza kuimudu kuipata kwa cku naanza Na m . Ili usinijazie contact

Hebu acha roho mbaya wewe mwanamke, sasa sisi masikini tutapataje tamu yako kwa mtindo huo!?
 
Sasa huzami chumvini wa kazi gani,pesa yangu hupati bora babu ajilie chake bila kuibiwa...teh teh mkuu tuishie hapa naona topic inabadilika
Babu anapiga mzigo kiuhakika au mpaka atumie sildenafil, muhogo, korosho, parachichi, pweza nk!?
 
Mnajua wanaowapiga mzinga usikute hawapiti humu,mnakuja kulalamika huku haisaidii mwambie huko huko...humu kwa mnavyotusakama hivi bado kuna mtu anawaomba vihela vyenu tu...muwe mnawaambia huko huko bana
Hahaha...ila kweli huku wadada wanasakamwa haswa.
 
Back
Top Bottom