Kina dada, this is too much

Kina dada, this is too much

Sasa huzami chumvini wa kazi gani,pesa yangu hupati bora babu ajilie chake bila kuibiwa...teh teh mkuu tuishie hapa naona topic inabadilika
Nakubali tuache ila nadhani wengi watakuwa wamejifunza kuwa mwanamke akikutawala lazima akudhalilishe kwa kukulazimisha Chumvini. Chumvini ni mfumo jike. Jpili njema
 
Nakubali tuache ila nadhani wengi watakuwa wamejifunza kuwa mwanamke akikutawala lazima akudhalilishe kwa kukulazimisha Chumvini. Chumvini ni mfumo jike. Jpili njema
Huo mfumo jike mmeuleta wenyewe mkatuzoesha msitafute mchawi ni nani,mmoja kama wewe ukikataa wengine mia wako tayari kuzama bila kuombwa...jumapili njema pia
 
Umenikumbusha mbali sana. Wasumbufu sana sometimes. Mtu unamwambia ukweli no room for you yumo tu.
Usumbufu ukizidi piga mzinga hallo Nina emergency naomba laki 5.
Ndo itakuwa mwisho
Hahahaha yah ukipenda boga penda na maua yake,maana yake ukipenda papuchi upende pia na kugharamia
 
Principle iko hivi:: MWANAMKE ANAEKUPENDA KWELI SIKU ZA MWANZO HUONA AIBU KUKUOMBA PESA, Ukiona mwanamke anakupiga mizinga ujue hajakupenda kabsaa, akija akikupenda jua ni hayo matunzo yako ndo yanayomuweka kwako, subiri apate mwenye pesa Zaidi yako au wewe ufilisike ndo utajua, Pamoja na hayo Nadhani lengo pia ni moja Kama wewe lengo lilivyo unamtongoza ukamgegede, au ukamtumie wacha na yeye akufaidi vihela vyako, Mana wengi mkitia mimba mnasepa na kuawaachia majukumu ya ulezi wenyewe, then mnarukia mwanamke mwengine, sasa hivi watawatumia sana, kama mnavyowatumia au kuwatumia kama daraja.
 
hao unaowapata huko ni madada poa, hujui kwenye vijiwe vyao wanawindwa na mkono na washeria, siku hizi wamehamia kwenye mitandao ya kijamii
 
Endeleeni kuonga mitaji ya biashara machizi wenzangu.. akishajua amekuteka atakutafuna mpaka tone la mwisho finally ukikauka huyoo anasepa
 
Mnajua wanaowapiga mzinga usikute hawapiti humu,mnakuja kulalamika huku haisaidii mwambie huko huko...humu kwa mnavyotusakama hivi bado kuna mtu anawaomba vihela vyenu tu...muwe mnawaambia huko huko bana
Sio kuwasema,mnaambiwa ukweli,mizinga ya kibwege bwege hiyo imepitwa wakati wake,hao naowasema wako humu na wengine hawwako humu lakini ujumbe utawafikia tu
 
@ work big time,utakuta ni elfu 20 tu ya mafuta mtu anakuja kulia lia huku....mbona sisi tunazowahonga hatuwatangazi?
Heri nife masikini kuliko kuhongwa na mwanamke,utakua unawahonga wanaume wenye tabka kama zako,mimi mwanamke anaanzaje kunihonga kwa mfano. Hata nikifa leo mwili wangu hauwezi kukubali hongo yamwanamke
 
Mwanaume rijali haogopi kupigwa mizinga,kuvuliwa chupi unapenda ili ku-share the portion of cake you have eh it becomes shida tena unafungua na thread kabisa jf,wanaume wa kulalama kama wewe kwenye mfumo wa survival for the fittest you will never survival.
Huo sio urijali ni ubwege,urijali hauko kwenye kupigwa mizinga,urijali uko kwenye kuitafuna mbunye.

Hata hivyo the strong eats the strong prey,simba au mbwa mwitu hawali msoga uliojifia,hao ni fisi,mimi ni simba sili ease prey kama mizoga.
 
Kwan lazima utoe ulichoombwa? Kiherehere chako ndo kinachokusurubu
 
hao unaowapata huko ni madada poa, hujui kwenye vijiwe vyao wanawindwa na mkono na washeria, siku hizi wamehamia kwenye mitandao ya kijamii
Wajiweke wazi tujue kua ni machangu,sio kujifanya wastaarab kumbe ni machangu wanauza mbunye.
 
Kuna mmoja aliniambia yupo rough so nimtumie laki moja ya Saloon ili awaze kutoka
 
Umena vema!! Hawa wanawake cku iz ni hatar!! Wengne tunapenda kuowa bt ukiona tabia zao unakatamaa
 
Back
Top Bottom