Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,778
- 59,133
Unajua nimekumiss
Really?Nlidhani leo utaninunia!Nikupikie nini wkend hii shem wa ukweli!?
Unajua nimekumiss
Ugali na mlenda lol halafu ndugu yako alikuwa anakutafuta umewasiliana nae?Really?Nlidhani leo utaninunia!Nikupikie nini wkend hii shem wa ukweli!?
Ugali na mlenda lol halafu ndugu yako alikuwa anakutafuta umewasiliana nae?
mtafuteni husninyo ni bingwa wa iyo kitu.Yes sir...!Hehehe sijawahi kupika mlenda orijino ila kama hutomaind ukiwa wa bamia ntakutengenezea mtamu ajabu!
Ndo hivyo mtu anajikuta anaibiwa hivi hivi!mtafuteni husninyo ni bingwa wa iyo kitu.
Nipo hapa naangalia huu ushemeji wa mlenda ndembendembe.Yes sir...!Hehehe sijawahi kupika mlenda orijino ila kama hutomaind ukiwa wa bamia ntakutengenezea mtamu ajabu!
Them mlendaz from shemejizNipo hapa naangalia huu ushemeji wa mlenda ndembendembe.
Nipo, japo not under a mango tree.
Mwanakili nina wasiwasi tayari Husninyo aliishakuonjeshamtafuteni husninyo ni bingwa wa iyo kitu.
Hehehe!Na wewe unataka kua shemeji?Ntakupikia pilau!Nipo hapa naangalia huu ushemeji wa mlenda ndembendembe.
Nipo, japo not under a mango tree.
Umenikumbusha BirianiHehehe!Na wewe unataka kua shemeji?Ntakupikia pilau!
Umenikumbusha Biriani
Kabisa halafu nakuja na mwenzako kwahiyo weka share ya watu wawili.Nibadilishe menu?
Mwenzangu?Embu fafanua...Kabisa halafu nakuja na mwenzako kwahiyo weka share ya watu wawili.
Ahaa ahaa nakuja na nduguyo banaaMwenzangu?Embu fafanua...
Yalikuwa yakitokea sana kwa ndugu zetu fulani wa kanda ya kaskazini,hata kuua.Kwa hivi sasa sina uhakika.
Hehehe..nlidhani unakuja na shemeji mwingine.Mmh alafu ili nisiboreke njoo na yule mdogo wako mcute sana!Ahaa ahaa nakuja na nduguyo banaa
GROAN!Yatawashinda!wameacha kwasababu ya mambo ya dini mbona tungeisha..
Nitakuja nae yule mabinti wanamsumbua sana hawaishi kuja home ngoja nimlete kwako walau akae for a month.Hehehe..nlidhani unakuja na shemeji mwingine.Mmh alafu ili nisiboreke njoo na yule mdogo wako mcute sana!
Shemeji mwingine tena wee thubutu wakati kwa ndugu yako mimi nimefika mwisho wa reli pale lolHehehe..nlidhani unakuja na shemeji mwingine.Mmh alafu ili nisiboreke njoo na yule mdogo wako mcute sana!
Shemeji mwingine tena wee thubutu wakati kwa ndugu yako mimi nimefika mwisho wa reli pale lol