Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,948
Kuna maada ilipatwa kuzungumzwa na kituo cha radio mahali. Wanawake walio kwenye ndoa walikuwa wanajieleza jinsi wanavyopanga kuwaacha waume zao - mara jambo fulani wanalolitegemea likikamilika. Mmoja alikuwa anasubiri mtoto wao wa mwisho aingie sekondari, mwingine alikuwa anasubiri amalize masomo aliyokuwa analipiwa na mumewe, n.k, n.k.
Kina dada, yaani unaweza kuingia kwenye ndoa ukiwa umepanga kabla na mapema kuwa baada ya hatua fulani kimaisha ikifikia unamuacha jamaa solemba??
Kina dada, yaani unaweza kuingia kwenye ndoa ukiwa umepanga kabla na mapema kuwa baada ya hatua fulani kimaisha ikifikia unamuacha jamaa solemba??