Kina dada na maisha ya tamthilia

Kina dada na maisha ya tamthilia

Jamani naona hatujaelewana kwani ukisikia ACAPULCO unawaza tamthilia tu?????????ni mji ambao uko Mexico na mimi kujiita Acapulco haina maana naijua hiyo tamthilia,in SHORT CJUI KAMA KUNA TAMTHILIA INAITWA ACAPULCO,tukomenti mada jamani hasa kwa content ambayo ipo tuachane na hilo jina Acapulco
Acha uongo, kweli ni mji lakini waTZ wengi waliujuwa baada ya ile tamthilia
 
kuna mawili hapa wengine hawaujui kama ni mji wanajua tu kama isidingo ilivyo ila mm cjawahi kusikia kama ni tamthilia
 
kuna mawili hapa wengine hawaujui kama ni mji wanajua tu kama isidingo ilivyo ila mm cjawahi kusikia kama ni tamthilia

kiukweli ungenipa mil 1 nijibu ni mji au tamthilia 4 sure mie ningejibu ni tamthilia
 
Hahaha...wale wale tu...
Mie siku hizi mambo mengi tu ila enzi hizo...
La mujer de mi vida...
La revenga
My three sisters
The promise
La tormenta..
Secreto de amor
Second chance
Hidden passion
Forbidden passion
I will never say goodbye
Deception
Marimar
Dangerous love
Storm over paradise
Mi pecado..
Jumong
Painter of the wind
The great queen seondeok
Emperor of the sea
Slave hunter...
Jewel in the palace

Na zingine nimesahau majina....
Umesahau isidingo na the bold and the beautiful na passionl
 
Maneno ilikuwa sunseat beach na Egoli place of gold. Wafilipino wanajua kulia bana, yaani ukiangalia star tv zile tamthilia zao khaaa full machozi yaani
 
Hahaha...wale wale tu...
Mie siku hizi mambo mengi tu ila enzi hizo...
La mujer de mi vida...
La revenga
My three sisters
The promise
La tormenta..
Secreto de amor
Second chance
Hidden passion
Forbidden passion
I will never say goodbye
Deception
Marimar
Dangerous love
Storm over paradise
Mi pecado..
Jumong
Painter of the wind
The great queen seondeok
Emperor of the sea
Slave hunter...
Jewel in the palace

Na zingine nimesahau majina....
Umesahau isidingo na the bold and the beautiful
 
Unaiangaliaga kupitia channel gani?
mi nipo ulaya huku bado yaoneshwa bana kuna watu wengi wapya lakini bo,hope,shawwn,isabella,marlena,john black,tony dimera na wengineo bado wapo ila watu wanabadilishwa kama kawaida!
 
katika mambo yote ya tamthilia wadada wanayojifunza na kutaka waume tuyaige hawataki kukubali ukweli kwamba western life style and marriages always ends with divorce!!! wanawake wetu wa kiafrika wanataka tuishi kitamthilia lakini divorce hawataki hawajui yale maisha siyo sustainable ndio mana divorce is inevitable!!! angalia hollywood superstars wote wana divorce kadhaa ktk maisha yao!!!! you cant eat your cake and still have it too!!!
 
Back
Top Bottom