King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,984
Ila mie nikimpenda mtu namtumikia na wala sichoki. Hadi nikimalizana na mapenzi nakiuliza zile nguvu za kutumikia nilizipata wapi! I can bake a fresh cake kila wikiendi na home made bfast daily hehehe. Sijui niliwekewa limbwata! Ila nikiacha kupenda hata kupika chai ya rangi using a tea bag naona naonewa!
Ukiona mwanamke yuko hivyo, sijui anaishije
Ndio maana mie kuna siku niliuliza, ukiolewa na baresa huna haja ya kufanya kazi?