Kina dada acheni unafiki

Kina dada acheni unafiki

Hivi Yusuph alikuwa ni mkristo au muislam?
 
Bora achepuke na nisijue kuliko kujua kbs eti tuko wawili, ndoa hizi aisee ni majanga. Ngoja niwe nipo nipo kwanza.
 
Kumbe wanaume siku hizi ni kama ng'ombe na jogoo.
Acha tu wanawake tubaki kuwa wanadamu nyie endeleeni kuishi kama wanyama
Mungu hakukosea alipoumba binadamu na wanyama na kumpa mwanadamu uerevu na akili kulioko mnyama.
 
Basi kuku jike/ tetea upandwa na dume lolote lile, na hata na mtoto wake, mjukuu wake.
Kama unataka kulinganisha wanyama na binadam.

Hahahaa nimependa hii, tit for tat.... ila mie ndugu kunipanda hapana ila wengineo aaah nakula raha tuu heheh
 
charity begins at home kama umekupia kwenye mufamiliya wa wanawake kila kabila baba yako analo, tuwache sio tulioleleea na baba na mama haijalishi walichepuka au lah ila ndani ya nyumba nilimuona baba na mama na ndio familiya ya ndoto yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom