Kina dada acheni unafiki

Kina dada acheni unafiki

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,151
Reaction score
20,065
Habari ya wakati huu wakuu.

Kina dada haiwezekani nyumbani kwenu au kwako ufurahie jogoo mmoja au uone ni sawa jogoo mmoja kua na majike(maetea 10) katika banda lake au dume moja la ng'ombe kua na majike 5 alafu ulalamike mume wako kua na mchepuko.

Huo naiuita unafiki, mbona majumbani kwenu hamfugi jogoo kumi na majike kumi badala yake mnafuga jogoo mmoja na majike 10 na hata mgeni akija magojoo ndio huchinjwa na kuacha moja au kuuzwa kwa imani kwamba moja litatosha kuudumia matetea kumi.

Acheni unafiki ndugu zangu, watendeeni waume zenu sawa na mnavyoyatendea majogoo au madume ya ng'ombe au mbuzi katika majumba yenu.
 
wakristo wapo kupinga maagizo ya Mwenyezi Mungu siku zote inhali wanaishi kwa unafiki.Mwanaume hawezi kuwa na mke mmoja maishani
yaani mwanaume amuingilie mwanamke mmoja tu adhabu yake ni moto wa milele jehanamu
 
wakristo wapo kupinga maagizo ya Mwenyezi Mungu siku zote inhali wanaishi kwa unafiki.Mwanaume hawezi kuwa na mke mmoja maishani
yaani mwanaume amuingilie mwanamke mmoja tu adhabu yake ni moto wa milele jehanamu
Mwanaume huwezi kua na mwanamke mmoja sio mama yako. Unafiki ni mbaya sana heri sisi ambao tunasema mungu hayupo kuliko wanafiki wanaosema mungu yupo na hawafuati maagizo yake ya kuwataka kua na mwanake mmoja na mmoja pekee.
 
shida ni wanawake au wanaume? kwanini mnaoa mke mmoja?
Si kila mtu anaakili kama unavyofikiria, wako wanaume ambao wameridhika na huyo mke mmoja na hawachepuki,
Mngetoa tu ushauri walau kulikoni unafki wa kuchepuka( kwa wachepukaji) heri wasioe mwanamke mmoja japo pia haizuii kutoka nje. Ila wapo nna hakika walio tulia kwa wake zao kiroho safi!
 
Si kila mtu anaakili kama unavyofikiria, wako wanaume ambao wameridhika na huyo mke mmoja na hawachepuki,
Mngetoa tu ushauri walau kulikoni unafki wa kuchepuka( kwa wachepukaji) heri wasioe mwanamke mmoja japo pia haizuii kutoka nje. Ila wapo nna hakika walio tulia kwa wake zao kiroho safi!
fine hawachepuki? je wameridhika? hawana mfadhaiko?
 
wakristo wapo kupinga maagizo ya Mwenyezi Mungu siku zote inhali wanaishi kwa unafiki.Mwanaume hawezi kuwa na mke mmoja maishani
yaani mwanaume amuingilie mwanamke mmoja tu adhabu yake ni moto wa milele jehanamu

Hayo ni matakwa ya mtu binafsi, haya husiani na mungu wala nini.
 
Nafikili tatizo lililipo hapa ni kwamba unashindwa kutofautisha kati ya binadamu na kuku au na viumbe wengine.
Nashangaa wewe binadamu unataka kuishi sawa na mbwa ama paka hii inaonesha ni jinsi gani binadamu hatambui thamani yake
Pole sana mkuu kwasababu umeshindwa kujitambua wewe ni nani.
 
fine hawachepuki? je wameridhika? hawana mfadhaiko?

Jambo la kwanza kabisa la kujua, kuna sababu nyingi ambazo zinafanya mwanaume achepuke, yawezakuwa yeye mwenyewe haridhiki na mwanamke mmoja au mwanamke hamridhishi mwanaume na hivyo kumpelekea kuwa na machepuko, au basi naona fahari kuwa na wanawake wengi hata kama anatimiziwa kila kitu na mmoja alie nae.

Kuna wanaume wengine hawana haja wala nia ya kuchepuka na wameridhika na mwanamke huyo mmoja alie nae, wala hana mafadhaiko. Hao wapo.
 
Habari ya wakati huu wakuu.

Kina dada haiwezekani nyumbani kwenu au kwako ufurahie jogoo mmoja au uone ni sawa jogoo mmoja kua na majike(maetea 10) katika banda lake au dume moja la ng'ombe kua na majike 5 alafu ulalamike mume wako kua na mchepuko.

Huo naiuita unafiki, mbona majumbani kwenu hamfugi jogoo kumi na majike kumi badala yake mnafuga jogoo mmoja na majike 10 na hata mgeni akija magojoo ndio huchinjwa na kuacha moja au kuuzwa kwa imani kwamba moja litatosha kuudumia matetea kumi.

Acheni unafiki ndugu zangu, watendeeni waume zenu sawa na mnavyoyatendea majogoo au madume ya ng'ombe au mbuzi katika majumba yenu.

Basi kuku jike/ tetea upandwa na dume lolote lile, na hata na mtoto wake, mjukuu wake.
Kama unataka kulinganisha wanyama na binadam.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom