tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,425
- 4,774
Yapi yamefanyiwa harambee mkuu? Pasco ana hoja hapa.Huu ni ochonganishi, Yule ni kiongozi wa taasisi muhimu inchini na chini yake wako watendaji wengi, majanga na ajali nchi hii hayajaanza jana wala leo, tumeona ajali na majanga ya mafuriko, tumeona ajali za Sepide etc, hapa naona mnatafuta lawama kwa kuwa tukio limetokea kanda ile ili badaye mseme, Mods naomba mfute Uzi huu.
Uso umeumbwa na aibu kina Ruge mzee wa Escrow ndio wenye uwezo wa kuiponya Bukoba ndani ya dakika tu lakini umeshatangaza unataka waishi kama mashetani.
Mabalozi waliambiwa wasiingilie mambo ya ndani wanashangaa wameitwa jumba jeupe kuombwa msaada baba mwenye nyumba haonekani, na mkumbuke wenzetu wazungu ni watu wa kukeep record, bado wana kumbukumbu na walimsikia Baba mtukufu akitamba Tanzania hatutaki misaada, je hata wewe Pasco utaanza vipi kuwaface watu kama hao uliowatambia?
Maskini hana kiapo na Shabaan Robert alituhasa tuweke akiba ya maneno.
Yale mapesa ya MCC zaidi ya dollar millioni 800 tuliyapiga teke leo kumfuata mzungu kumuomba msaada inaweza kusababisha waanzishe research center ya kuzifanyia research akili zetu.
Cha msingi tuendelee kumuombea tu.
Great Thinker...mmmmmmmh kwanza kabla sijachangia gt n nn?
asntee mkuuGreat Thinker...
Haya changia sasa kama GTasntee mkuu
upo sahihi nduguWaziri mkuu si alishawakilisha Kagera? ikumbukwe Tanzania ina majanga kila siku tena ni mengi mno. sasa huo ukimya mnao question mngependa mtu ajigawanye mara ngapi? jipe mfano wewe na familia yako, ni mara ngapi mmeweza kuwepo kwenye tukio wote kwa pamoja iwe msiba, sherehe, kuona mgonjwa N.K? mimi nahisi Pasco unalo unalolitafuta au unalo unalojua na kama unalo unalojua basi kufwa free ku share nasi. After all sharing is caring. Sambaza upendo mkuu.
Labda ameanza kuwa msikivu, wamemshauri anyamaze labda!!!!Hahaa nimeona hadi Mwanakijiji nae anauliza kuna nini?
naona labda kuna kitu 'very serious' going on...
Labda .........vipengele vya sheria vinatazamwa kabla ya tamko..
labda.....
Walioiba vifaa vya tetemeko wajiandae kutumbuliwa majipu.. Mkuu yupo kwenye uchunguzi mzito.. Atakuja tu.Kimya kingi kina mshindo mkuu ngoja tusubiri.
Mmmmh mkuu yaweza kuwaatakuwa anaanda barua ya ku resign you never know,maana mambo magumu watendaji wake wanatoa majibu weak kwa hoja strong
Mi nasoma tu[emoji135][emoji135]