Kimo cha mwanadamu kinapungua siku hadi siku

Kimo cha mwanadamu kinapungua siku hadi siku

tamimusalim

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2014
Posts
1,822
Reaction score
501
ImageUploadedByJamiiForums1407386034.519130.jpg Kwa mujibu wa vitabu takatifu Quraani, injiri,torati,hata zaburi, vinaeleza kuwa mwenyezi mungu alimuumba mwanadamu katika vipimo hivi urefu mita 60 na upana mita 7 angalia jinsi mtu huyu alivyokuwa wa ajabu ni sawa na basi hilo ukilisimamisha ! Sasa tunilinganishe na wanadamu wa leo , vipimo hivyo ndivyo alivyokuwa navyo baba yetu ADAM .mwogope mungu ndugu yangu sali
 
sipati picha hizo "biology" zao zilikua na ukubwa gani, hahaahaa kumbe ndio maana walikua na uwezo wa kupigana hadi na simba
 
Swali langu ni je kwann wanaume wengi siku hizi wanaota vipara???na je kwann wanawake wengu wanaotwa ndevu
 
sipati picha hizo "biology" zao zilikua na ukubwa gani, hahaahaa kumbe ndio maana walikua na uwezo wa kupigana hadi na simba
Na sio kupigana na simba alikuwa na uwezo wa kumuuwa simba bila silaha
 
Hao simba wazaman na qa sasa je walikuwa n hawa hawa au nao wamebadilika?
 
View attachment 175706 Kwa mujibu wa vitabu takatifu Quraani, injiri,torati,hata zaburi, vinaeleza kuwa mwenyezi mungu alimuumba mwanadamu katika vipimo hivi urefu mita 60 na upana mita 7 angalia jinsi mtu huyu alivyokuwa wa ajabu ni sawa na basi hilo ukilisimamisha ! Sasa tunilinganishe na wanadamu wa leo , vipimo hivyo ndivyo alivyokuwa navyo baba yetu ADAM .mwogope mungu ndugu yangu sali

Nani alikuwepo wakati anaumba?Thibitisha kwamba tumeumbwa
 
Kama ilikuwa hivyo kungekuwa na na evidence kama mashimo makubwa ya vyoo, maeneo yenye shape ya cave wakimo ishi au majumba wakiyokaa. Sasa iwaje evidence kama hizi hakuna. Na kwann adam alizikwa na mungu
 
Na kwann musa alzkwa na mungu. Kama kuna upendeleo fulan hapa au mm sielewi
 
nukuhu ''quote'' please wapi imeandikwa hivyo katika hivyo vitabu ulivyovitaja otherwise hizo ni hypothesis zako tu
 
View attachment 175706 Kwa mujibu wa vitabu takatifu Quraani, injiri,torati,hata zaburi, vinaeleza kuwa mwenyezi mungu alimuumba mwanadamu katika vipimo hivi urefu mita 60 na upana mita 7 angalia jinsi mtu huyu alivyokuwa wa ajabu ni sawa na basi hilo ukilisimamisha ! Sasa tunilinganishe na wanadamu wa leo , vipimo hivyo ndivyo alivyokuwa navyo baba yetu ADAM .mwogope mungu ndugu yangu sali

vitu vingine ni.uwongo uliopo bayana..eti mita 60
 
Back
Top Bottom