Half London
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 261
- 117
Hapa jamaa umeua! Cha kushangaza unawalazimisha watu kuamini. Hakuna anayekuamini hata mmoja?
duu mimi nimeanzisha hii thread nimebaki kushangaa watu wanavyozama chimbo yaani hili ndilo kaburi la ibrahim mbona mrefuuu hivi
Maskani ya mji wetu ni just 35Km from that location !! This are Qumu 3aad !!Duh umetisha bro kwa ushahidi murua huu.
hivi unadhani mungu aliumba mtu mdogo kama wewe! Wewe tazama yale pyramid ni kazi za watu leo hii kiumbe gani kinaweza fanya vile ujihoji tu
unajua ukubwa wa airbus A380? Imeundwa na watu gani? Wa zamani?
anachekesha uyoooUnataka kufananisha Airbus na Pyramids za Misri au?!
Au unataka kusemaje?
View attachment 175706 Kwa mujibu wa vitabu takatifu Quraani, injiri,torati,hata zaburi, vinaeleza kuwa mwenyezi mungu alimuumba mwanadamu katika vipimo hivi urefu mita 60 na upana mita 7 angalia jinsi mtu huyu alivyokuwa wa ajabu ni sawa na basi hilo ukilisimamisha ! Sasa tunilinganishe na wanadamu wa leo , vipimo hivyo ndivyo alivyokuwa navyo baba yetu ADAM .mwogope mungu ndugu yangu sali
Unataka kufananisha Airbus na Pyramids za Misri au?!
Au unataka kusemaje?
anachekesha uyooo