Kimo cha mwanadamu kinapungua siku hadi siku

Kimo cha mwanadamu kinapungua siku hadi siku

Haya unaona mambo hayo ya watu wenye kujua mambo sio wewe umekurupuka kubisha bisha tu sasa ilo lilikuwa lijitu wewe rudi kwa mungu wako kaka
 
.mwogope mungu ndugu yangu sali[/QUOTE]
Naona hapa mkuu umemaliza kwa mkwara a.k.a 'biti' au umeanzisha church unatafuta 'vichwa'
 
sipati picha hizo "biology" zao zilikua na ukubwa gani, hahaahaa kumbe ndio maana walikua na uwezo wa kupigana hadi na simba

Nasikia simba wa zamani walikuwa mara mbili zaidi ya hawa waliopo sasa

Simba wa kipindi hicho walikuwa kama super custom!

toyota-hiace-super-custom_4ecfc.jpg
 
View attachment 175706 Kwa mujibu wa vitabu takatifu Quraani, injiri,torati,hata zaburi, vinaeleza kuwa mwenyezi mungu alimuumba mwanadamu katika vipimo hivi urefu mita 60 na upana mita 7 angalia jinsi mtu huyu alivyokuwa wa ajabu ni sawa na basi hilo ukilisimamisha ! Sasa tunilinganishe na wanadamu wa leo , vipimo hivyo ndivyo alivyokuwa navyo baba yetu ADAM .mwogope mungu ndugu yangu sali

Mkuu ukubwa wa watu wa zamani na udogo wa binadamu wa sasa vinahusiana vipi na kusali?
 
grave-of-prophet-imran-A.S-300x199.jpg

Hilo la Ibrahim!

Grave_of_Prophet_Yusha_A.S.jpg

Hilo la Yusha!

Embu google 'graves of past prophets'
duu mimi nimeanzisha hii thread nimebaki kushangaa watu wanavyozama chimbo yaani hili ndilo kaburi la ibrahim mbona mrefuuu hivi
 
View attachment 175706 Kwa mujibu wa vitabu takatifu Quraani, injiri,torati,hata zaburi, vinaeleza kuwa mwenyezi mungu alimuumba mwanadamu katika vipimo hivi urefu mita 60 na upana mita 7 angalia jinsi mtu huyu alivyokuwa wa ajabu ni sawa na basi hilo ukilisimamisha ! Sasa tunilinganishe na wanadamu wa leo , vipimo hivyo ndivyo alivyokuwa navyo baba yetu ADAM .mwogope mungu ndugu yangu sali

Eri mwenzetu hivi vipimo vya binadamu vya kuwa alikuwa na urefu wa zaidi ya nusu ya kiwanja cha mpira umezitoa katika zaburo mstari wa ngapi!!? Maana ndio kwanza nnasikia kwako😳😳😳
 
Eri mwenzetu hivi vipimo vya binadamu vya kuwa alikuwa na urefu wa zaidi ya nusu ya kiwanja cha mpira umezitoa katika zaburo mstari wa ngapi!!? Maana ndio kwanza nnasikia kwako😳😳😳
hivi unadhani mungu aliumba mtu mdogo kama wewe! Wewe tazama yale pyramid ni kazi za watu leo hii kiumbe gani kinaweza fanya vile ujihoji tu
 
hivi unadhani mungu aliumba mtu mdogo kama wewe! Wewe tazama yale pyramid ni kazi za watu leo hii kiumbe gani kinaweza fanya vile ujihoji tu
Mi nadhani mwaka 7000 tutakuwa kama chura ila ccm watakuwa kama mbu
 
hivi unadhani mungu aliumba mtu mdogo kama wewe! Wewe tazama yale pyramid ni kazi za watu leo hii kiumbe gani kinaweza fanya vile ujihoji tu

Baada ya kuona hizo baadhi ya picz basi nimenjoosha mikono. Kwa hiyo kifupi ni kuwa Hasheem Thabeet enzi za mitume wangemwita andunje aka emoro
 
Mimi nachoamini vipimo walivyokuwa wakitumia siyo hivi tunavyotumia cc. Na hata walivyokuwa wanahesabu miaka c kama tunavyo hesabu cc. Kuna mahali bibilia inasema kuna watu waliishi miaka 900!.

Hivi vitabu vina makosa mengi.
 
Na kwann musa alzkwa na mungu. Kama kuna upendeleo fulan hapa au mm sielewi
Ndugu yangu,naona una hoji mambo ya Mungu,Ila ingekuwa vyema ukaingia kwny maandiko ukajua ni kwann.
Ila kwa jibu la haraka ni kwamba na Je wewe na we unajifananisha na Musa?
Soma umjue na umwelewe majibu yoote yapo humo.
 
Back
Top Bottom