Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,834
- 38,716
KhaaKilimo cha ukweli kinacholipa maradufu na kwa haraka ni kilimo cha Bangi ila lazima uisome PGO yote uelewe haki zako za msingi unapokuwa chini ya mikono salama ya serikali kabla ya kushika jembe
Labda sielewi, kwani kuna ubaya gani wewe kuzalisha kwa kupitia mitaji midogo midogo ya wawekezaji wadogo wadogo ambao baadaye utawalipa hata kama ni kwa bei ya chini ya ile utakayouzia (ambao ni utaratibu wa kawaida sana kwa watu wa kati); hapa kuna suala la ECONOMIES OF SCALE ambalo linaleta tija kwa pande zote na kufanya WIN WIN SITUATION!Kama almasi ni milioni kadhaa haimaanishi na mimi nitakupa guarantee ya kununua kwa bei hio ukizingatia na mimi ni muuzaji sio mnunuzi wa mwisho na ninanunua quantity kubwa...
Issue yangu ya mimi na hao wadau ni kwanini wasianze kununua sasa hivi hata kwa pesa pungufu ya hapo ili wawauzie kina nyie? (Yaani wakati tunapanda na kupalilia tunauza) sio tungoje tuvune ndio tuanze kuuza wakati kuna mzigo upo tayari.
Miradi mingi ya kwenye mtandao ni vema watu wakaifuatilia kwa makini sana.Mambo ya Mr. Makuku hayo
Inawezekana huo mradi umekaa kiujanja ujanja.
Ila katika pitapita zangu mitandaoni kuhusu thamani ya zao la vanila ni kubwa, niliona wakulima wa vannila nchini Madagascar wanalalamikia usalama wao pindi wakishavuna hata kama ana kilo moja au mbili hua wanafatwa usiku na majambazi yenye silaha za mato na kuwanyang'anya.
Hakukutukana kama wale matapeli wa kwenye mitandao ya simu?Hahahaha a daaaa nimecheka Kama mazuri Hawa jamaa Wana vituko ACHA Kabisa nilishawahi kutana na kenge Mmoja kutoka forever living akaanza hizi swaga akijua kapata boya nikamchora weee mpaka mwisho wa mchezo halafu nikampotezea tu!
Habari yako KWISHA! Huna hoja hivyo unakimbilia kwenye matusi na VIOJA kama wanavyo fanya akina TOBO na wenzake! Binafsi siko kwenye level ya matusi, samahani sana!Tatizo lako unavutia bangi chooni kwa shemeji yako
Kwa nini yeye asifuge hao vifaranga hadi wawe wakubwa aje kuwauza 60,000/=<?Kama kuna kenge mmoja alikuja kunitembelea shambani kwangu nafuga kuku wa mayai akananimbia fuga na sungura ,eti sungura mmoja anauzwa mpaka 60000 na soko lake ni kubwa wakati mimi mwenyewe na utu uzima wangu sijawaai kula sungura ,nikasema inamaana sungura ana bei sawa au zaidi ya mbuzi niakona huu ni utapeli pale tu aliponiambia aniuzie vifaranga vya sungura.
Endelea na shughuli zako hapo kwa shemeji yakoHabari yako KWISHA! Huna hoja hivyo unakimbilia kwenye matusi na VIOJA kama wanavyo fanya akina TOBO na wenzake! Binafsi siko kwenye level ya matusi, samahani sana!
Kwa nini yeye asifuge hao vifaranga hadi wawe wakubwa aje kuwauza 60,000/=QUOTE]Tapeli huwaga hana muda wa kujiuliza maswali ya msingi kama hayo.
Nachukua nafasi hii sasa kutoa ushauri wa bure kwa akina TOMASO kuhusu hili zao la vanilla! Hebu tafuteni uzi wa Viking wa tarehe 02 Agosti, 2020 wenye kusomeka "PROFESA KABUDI NENDA MADAGASCAR UKATULETEE MICHE YS VANILLA".
Hakuna ubaya wowote, mikataba ni mikataba na kama two parties involved zinakubaliana na terms hakuna ubaya; na haya mambo hayana guarantee hata mtu genuine huenda bado mambo yasiende sawa na bado ukapoteza (ingawa lengo lake halikuwa utapeli) Na hata Vannila kupanda bei hivi ni baada ya hali ya hewa kuharibu mashamba ya mlimaji mkubwa ambaye ni Madagascar hence kuleta scarcity... ISSUES KUBWA NI MBILI...Labda sielewi, kwani kuna ubaya gani wewe kuzalisha kwa kupitia mitaji midogo midogo ya wawekezaji wadogo wadogo ambao baadaye utawalipa hata kama ni kwa bei ya chini ya ile utakayouzia (ambao ni utaratibu wa kawaida sana kwa watu wa kati); hapa kuna suala la ECONOMIES OF SCALE ambalo linaleta tija kwa pande zote na kufanya WIN WIN SITUATION!
Tatizo ni wao kukataa kuchukua mzigo ambao upo at the moment wala sio pesa wala mtaji (kwahio inaonekana hakuna transparency ya kutosha) bei wanayotoa na bei iliyopo nchini tofauti ni kubwa kama soko wangekuwa nalo na kutosha hata kama mtaji hawana wangeweza kwenda benki na letter ya offer ya watu kununua mzigo mkubwa wakapewa funds wakanunua kwa wakulima wakakausha na wao kuuza kwa faida maradufuHata hivyo, kama nilivyo kwisha sema, nadhani tatizo ni huo mtaji wa say 2M/= ambao siyo pesa kubwa wala siyo pesa ndogo depending on your level of income! Kisha na hicho utakachopata at the end of the day - matokeo yake ni UTAPELI NA UKUKU! Haya ni majibu rahisi kwa mambo mazito! Typical of us Tanzanians, unaulizwa vipi mambo!? Unajibu POA kumbe njaa tupu!
Yule jamaa ana kiofisi Fulani pale chanika Kwa Zoo alikua ananisisitiza nijiunge nikawa Nampa Hadi hewa Sasa yapata mwaka umepita next week nitakua pande Hizo nitaenda kumuuliza Kwa kejeri Vipi Lile deal la mahela umevuna billion ngapi vileeeee na Mimi niingie serious ?Hakukutukana kama wale matapeli wa kwenye mitandao ya simu?
Mimi mmoja ya watu waliobahatika kufika ofisini kwa vanilla international Ltd huku Njombe ... wenyewe wamejikita zaidi kwenye kutengeneza vanila ambayo inaendana na kiwango wanachotaka wenyewe na wana lima kiteknolojia ya kisasa zaidi hivo hawanunui kwa watu baki... Wao vanilla yao huuza nchini Comoro na bei ni 250,000 ikiwa mbichi na ikikauka bei ni 1M ....MWENYE SWALI ZAIDI ANIULIZE NITATOA UFAFANUZIKama almasi ni milioni kadhaa haimaanishi na mimi nitakupa guarantee ya kununua kwa bei hio ukizingatia na mimi ni muuzaji sio mnunuzi wa mwisho na ninanunua quantity kubwa...
Issue yangu ya mimi na hao wadau ni kwanini wasianze kununua sasa hivi hata kwa pesa pungufu ya hapo ili wawauzie kina nyie? (Yaani wakati tunapanda na kupalilia tunauza) sio tungoje tuvune ndio tuanze kuuza wakati kuna mzigo upo tayari.
Soko la hisa linasaidia nini ebu tueleze. Watu waliwekeza fedha Precision Air iliyokuwa DSE na bado return on investiment imekuwa kitendawili, ????Usikubali kuwekeza popote kama fursa inayotangazwa kampuni haijasajiliwa soko la hisa
Waulize tu mumesajiliwa soko la hisa ili niwekeze hisa zangu?
Wengi wametapeliwa mara sijui wekeza kwenye kuku,vanilla sijui shamba umwaligiliaji rufiji nk usiwekeze kwenye kampuni inayojitangaza tu isiyokuwa soko la hisa .ukisikia wekeza shilingi hizi utavuna mara kumi uliza tu mumesajiliwa soko la hisa? wakisema hapana achana nao
Hii kitu ikiruhusiwa na ukawekwa mfumo rahisi wa kuipeleka kwenye masoko ya nje Ulaya na Marekani naacha kila nachofanya naingia kwenye hiki kilimo !