4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 5,979
- 6,782
Hivi mwendazake ndo rais wa kwanza kutawa tz na mwanzo ikijulikana Tanganyika, nawambieni kitendo Cha kumutukuza kuliko watangulizi wake hata mh wa Sasa tulienae ,maana legacy imekua legacy, dhambi hii itawatafuna, sioni kosa KWA uliowataja, ila wenda pia wanajua mengi maana ni watu ambao exposure yao ni kubwa kuanzia kwenye chama,serikalin na hata nje ya nchi ,wameisha fanya KAZI chini ya viongozi mbalimbali wa kitaifa ,wanajua mengi kuliko wewe unaowakemea wakati ni wajuzi tu