Wonderful
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 7,347
- 5,998
Aiseeee!View attachment 422662nimepata tu ya Ubungo ya maziwa nimekosa
Aiseeee!View attachment 422662nimepata tu ya Ubungo ya maziwa nimekosa
Mabint watata, Utakuta aliichomeka Pichu yake kwenye Jinsi na akatembea uchi kurudi kwao ( I mean bila pichu).
Mshana una WIFI au shemeji?!!Mshkaji ilikuwa ampokee wifi ubungo stand SAA mbili usiku ila akawa na kazi ya nje mitaa ya ubungo maziwa , akafanya yake kwa nguvu ya nyagi
Kukurupuka Shee yuko stand anapiga cm non stop
Ile panic kumbe jamaa kaondoka na chupi ya mchepuko ndani ya jeans!!! Kufika hm sebuleni mambo hadharani! Bado tuko hapa
Ndio maana sipendi kupanda haya mabusView attachment 422685
Mie nimependa naye mwendokasi asubuhi hii ...kweli hajavaa pichuuu....si unaona picha ya wife yeye kavaa bikini.

Mbona inafanana na ile stori yako ile... au mna undugu..?!Matomaso![]()
Bila picha sielewagi
Eeeh ya chupiUnataka picha ya chupi au....???
hata hivyo umepata cha kuwasimulia wajukuu wako!!😀
Dah...prof labda wapinzani wake wa kisiasa walimuwekea mfukoniMshkaji ilikuwa ampokee wifi ubungo stand SAA mbili usiku ila akawa na kazi ya nje mitaa ya ubungo maziwa , akafanya yake kwa nguvu ya nyagi
Kukurupuka Shee yuko stand anapiga cm non stop
Ile panic kumbe jamaa kaondoka na chupi ya mchepuko ndani ya jeans!!! Kufika hm sebuleni mambo hadharani! Bado tuko hapa

njoo nikuonyeshe yangu....??Eeeh ya chupi