Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,296
Kuna kiongozi aliitoa kama handkachief mkutanoni baada ya kuongea sana jasho likamtoka ndo ikabidi ajipanguse duh tena kainyoosha mara watu shangwe akajua kamwaga madini kumbe. ..
Unataka ya nini na wewePicha tafadhali...🙂
With all due respect nina m dedicate wifi Hainaga ushemeji by Man FongoMshkaji ilikuwa ampokee wifi ubungo stand SAA mbili usiku ila akawa na kazi ya nje mitaa ya ubungo maziwa , akafanya yake kwa nguvu ya nyagi
Kukurupuka Shee yuko stand anapiga cm non stop
Ile panic kumbe jamaa kaondoka na chupi ya mchepuko ndani ya jeans!!! Kufika hm sebuleni mambo hadharani! Bado tuko hapa
Man FongoSponsored by......!
Itakuwa huyo mdada hapendi ujinga kabisa shamtengenezaNimeishia kucheka tu sasa chupi ili ingiaje kwa jeans?
Ata japo ya Ubungo Maziwa🙂.Unataka ya nini na wewe
Labda aliwekewa maksudi na huo mchepuko baada ya kuona jamaa anapigiwa simu na mkewe huku akiacha mchepuko haujaridhishwa na income akaamua amharibieItakuwa huyo mdada hapendi ujinga kabisa shamtengeneza
Washasema mjini mipango atiLabda aliwekewa maksudi na huo mchepuko baada ya kuona jamaa anapigiwa simu na mkewe huku akiacha mchepuko haujaridhishwa na income akaamua amharibie
Sometimes unakuaga mtamu lkn ukiamua kukuchenjia utasali sala zotenimeishia kucheka umalaya huu