njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Taarifa kutoka Morocco zinasema kwamba kocha msaidizi wa Yanga Sighr Hamad amevunja mkataba na klabu hiyo na hatakuwa sehemu ya benchi la ufundi kwa msimu ujao.
Mbali na kocha msaidizi lakini pia mtaalamu wa mazoezi ya viungo Jawad Sabri na daktari wa viungo Fareed Cassem kwa sababu mbalimbali wameamuama kuachana na timu hiyo .
Nikiripoti kutoka katika kambi hii isiyo na vyoo ni mimi NJAAKALI BIN HATARI
Mbali na kocha msaidizi lakini pia mtaalamu wa mazoezi ya viungo Jawad Sabri na daktari wa viungo Fareed Cassem kwa sababu mbalimbali wameamuama kuachana na timu hiyo .
Nikiripoti kutoka katika kambi hii isiyo na vyoo ni mimi NJAAKALI BIN HATARI