Mkakati mkali sana unapangwa wa kutengeneza Upinzani mkali na wa kueleweka. Zitto Kabwe, Benard Membe na Tundu Lissu ni wazi watakuwa pamoja. Ni suala la muda tu - kule Zanzibar kuna Fatuma Karume pia. Uchaguzi huu ni uchaguzi wa kiharakati na Tume ya Uchaguzi Huru ni lazima itazaliwa katika Uchaguzi huu. Ni suala la muda tu - ndiyo maana Zitto kishaahidi hata kufumua Bajeti Mbovu ya Mwaka huuu wa fedha itakapifika Januari. WOTE TUNAJUA UBOVU WA BAJETI HII HAUTAKIWI KUSUBIRI MWAKA MWINGINE - Bajeti yenye kunyanyasa na ya KIDIKTETA KABISA!
Katika mkakati uliopo kwa sasa ni kuhakikisha Dkt Mwigulu Nchemba naye anachomolewa iwe isiwe. Amekuwa akizunguka zunguka Iramba kwa kujipendekeza kwa maneno kwa wananchi ambao kwa sasa hana tena mvuto kwao. Mwaka 2015 alituhonga sana fedha lakini mwaka huu hana fedha hizo na kama anategemea atarudishwa tu na DIKTETA mwenzio Maghufuli ajue ameula wa chuya.
Ni lazima UDIKTETA wa Mwighulu uondolewe kwa nguvu zote Iramba - kwani miaka 10 yake inatosha kabisa - hana jipya kwani Iramba tunataka tusonge mbele sio kupapaswa papaswa na kwa maneno ya kinafiki. Kama CCM wanajidanganya kumrudisha wajue atang'olewa kupitia upinzani! Watu wapo tayari kuhama Chama chake mpaka wahakikishe anang'olewa hata kama atamtumia yule Mchawi wake wa Ng'anguli!
Katika mkakati uliopo kwa sasa ni kuhakikisha Dkt Mwigulu Nchemba naye anachomolewa iwe isiwe. Amekuwa akizunguka zunguka Iramba kwa kujipendekeza kwa maneno kwa wananchi ambao kwa sasa hana tena mvuto kwao. Mwaka 2015 alituhonga sana fedha lakini mwaka huu hana fedha hizo na kama anategemea atarudishwa tu na DIKTETA mwenzio Maghufuli ajue ameula wa chuya.
Ni lazima UDIKTETA wa Mwighulu uondolewe kwa nguvu zote Iramba - kwani miaka 10 yake inatosha kabisa - hana jipya kwani Iramba tunataka tusonge mbele sio kupapaswa papaswa na kwa maneno ya kinafiki. Kama CCM wanajidanganya kumrudisha wajue atang'olewa kupitia upinzani! Watu wapo tayari kuhama Chama chake mpaka wahakikishe anang'olewa hata kama atamtumia yule Mchawi wake wa Ng'anguli!