Prince Akeem
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 886
- 382
hebu acheni utoto jamani siku hizi demand ya CPA imeshuka sana tofauti na zamani,nawajua CPA Holder kibao bado wapo kitaani wanabangaiza tu,miaka ya nyuma ilikuwa ni nadra sana kukuta halmashauri kuna hawa watu ila siku hizi wapo tele wamejaaa.
pia mshaara unategemeana na kampuni inatengenezaje faida hasa huku kwenye private sector ila serikalini unaweza ukapigwa TGS D,PGS 12-14 nk hii ni kwa wanaoanza kazi bila uzoefu
inawezekana ukawa sahihi kutokana na waliokuzunguka. Mimi ndani ya mwezi huu nimeenda interview 5 na zote walikuwa wanataka CPA(T). Hii kitu ma company makubwa na yale ya kizungu CPA(T) ni deal sana.
Wasomali na waarabu ndio hawa i value kwa sababu mishahara midogo.
UKIWA NA CPA NA UKAJUA KUITUMIA NI MSAADA KWAKO.
MPAKA SASA KUNA CPA(T) SIO ZAIDI YA 6000. WENGINE WAMESHASTAAFU NA WENGINE WAMEHAMA FIELD.
WASIO NA CPA NDIO WANASEMA HAINA DILI, NASHUKURU MUNGU CPA INANISAIDIA NA NINAONEKANA MUHASIBU NILIYEKAMILIKA.
NA UKIWA NA UZOEFU NDIO ALMASI MCHANGANI