Kima cha chini cha mshahara kwa CPA(T) without experience

Kima cha chini cha mshahara kwa CPA(T) without experience

hebu acheni utoto jamani siku hizi demand ya CPA imeshuka sana tofauti na zamani,nawajua CPA Holder kibao bado wapo kitaani wanabangaiza tu,miaka ya nyuma ilikuwa ni nadra sana kukuta halmashauri kuna hawa watu ila siku hizi wapo tele wamejaaa.
pia mshaara unategemeana na kampuni inatengenezaje faida hasa huku kwenye private sector ila serikalini unaweza ukapigwa TGS D,PGS 12-14 nk hii ni kwa wanaoanza kazi bila uzoefu

inawezekana ukawa sahihi kutokana na waliokuzunguka. Mimi ndani ya mwezi huu nimeenda interview 5 na zote walikuwa wanataka CPA(T). Hii kitu ma company makubwa na yale ya kizungu CPA(T) ni deal sana.
Wasomali na waarabu ndio hawa i value kwa sababu mishahara midogo.
UKIWA NA CPA NA UKAJUA KUITUMIA NI MSAADA KWAKO.
MPAKA SASA KUNA CPA(T) SIO ZAIDI YA 6000. WENGINE WAMESHASTAAFU NA WENGINE WAMEHAMA FIELD.
WASIO NA CPA NDIO WANASEMA HAINA DILI, NASHUKURU MUNGU CPA INANISAIDIA NA NINAONEKANA MUHASIBU NILIYEKAMILIKA.
NA UKIWA NA UZOEFU NDIO ALMASI MCHANGANI
 
Wachache sana hawajaajiriwa

Tunashindwa kuelewa CPA haifanyi kazi anaye fanya kazi ni Mtu..
walio wengi ambao wana CPA alafu hawana kazi ni wale watoto wa college waliounganisha wana lack experience, walio wajanja wanaomba intership mda kidogo tu wanakuwa lulu,, kama una CPA usijirahisishe kabisa arifu,
omba hata 4M net
:smile-big::embarassed2:
 
Yaani kazi zingine bwana....hivi CPA ni zaidi ya Marketing?

lukindo anamaanisha thamani ya kazi yako kwa kampuni ni nini? Unachangia nini kwa kazi yako kwenye kampuni, ikimaanisha kwa nini wa kuajiri wewe na wakulipe hiyo pesa unayotaka, ni lazima uwe nauwezo wa kuonyesha utaleta tofauti gani kama ukiajiriwa.
 
Last edited by a moderator:
lukindo anamaanisha thamani ya kazi yako kwa kampuni ni nini? Unachangia nini kwa kazi yako kwenye kampuni, ikimaanisha kwa nini wa kuajiri wewe na wakulipe hiyo pesa unayotaka, ni lazima uwe nauwezo wa kuonyesha utaleta tofauti gani kama ukiajiriwa.
Kwamba, thinking of being paid 4m for instance needs to be atleast 5% of what you produce for a firm. Huo ndio ubepari au 'going-on concern' kwa wahasibu!
Sio unalipwa pesa alafu unashinda jf 60% ya muda wako!

 
nimegundua humu watoto wengi sana.

na wengi wenu hamjawahi kuajiriwa kwenye corporates na kuona mfumo wa formal sector ulivyo.

sikilizeni kwa makini vijana. msijidanganye.

mshahara haupangwi kutokana na elimu uliyonayo. bali unapangwa kutokana na position scale.

hata kama wewe ni profesa. kama kwenye kampuni ukipangiwa kufanya kama secretary wa bosi. basi utalipwa mshahara wa level ya secretary wanavyolipwa.

hata kama wewe ni darasa la saba. kwenye kampuni ukiajiriwa kama ceo.. hapo utalipwa mshahara kwa scale ya ceo ilivyopangwa..

ukiwa bank teller hata uwe na master, cpa sijui phd.. utalipwa kwa scale ya bank teller.

inshort mshahara unapangwa kutokana na cheo ulichonacho. au kazi unayoifanya salary scale yake ni shilingi ngapi.
 
nimegundua humu watoto wengi sana.

na wengi wenu hamjawahi kuajiriwa kwenye corporates na kuona mfumo wa formal sector ulivyo.

sikilizeni kwa makini vijana. msijidanganye.

mshahara haupangwi kutokana na elimu uliyonayo. bali unapangwa kutokana na position scale.

hata kama wewe ni profesa. kama kwenye kampuni ukipangiwa kufanya kama secretary wa bosi. basi utalipwa mshahara wa level ya secretary wanavyolipwa.

hata kama wewe ni darasa la saba. kwenye kampuni ukiajiriwa kama ceo.. hapo utalipwa mshahara kwa scale ya ceo ilivyopangwa..

ukiwa bank teller hata uwe na master, cpa sijui phd.. utalipwa kwa scale ya bank teller.

inshort mshahara unapangwa kutokana na cheo ulichonacho. au kazi unayoifanya salary scale yake ni shilingi ngapi.

Hapa umemaliza mkuu.
 
nimegundua humu watoto wengi sana.

na wengi wenu hamjawahi kuajiriwa kwenye corporates na kuona mfumo wa formal sector ulivyo.

sikilizeni kwa makini vijana. msijidanganye.

mshahara haupangwi kutokana na elimu uliyonayo. bali unapangwa kutokana na position scale.

hata kama wewe ni profesa. kama kwenye kampuni ukipangiwa kufanya kama secretary wa bosi. basi utalipwa mshahara wa level ya secretary wanavyolipwa.

hata kama wewe ni darasa la saba. kwenye kampuni ukiajiriwa kama ceo.. hapo utalipwa mshahara kwa scale ya ceo ilivyopangwa..

ukiwa bank teller hata uwe na master, cpa sijui phd.. utalipwa kwa scale ya bank teller.

inshort mshahara unapangwa kutokana na cheo ulichonacho. au kazi unayoifanya salary scale yake ni shilingi ngapi.
hii ni dunia ya free market na tunaendeshwa na power of negotiation. mambo ya scale ni huko serikalini lakini kwingine ni uzoefu na elimu vitakubeba
 
nimegundua humu watoto wengi sana.

na wengi wenu hamjawahi kuajiriwa kwenye corporates na kuona mfumo wa formal sector ulivyo.

sikilizeni kwa makini vijana. msijidanganye.

mshahara haupangwi kutokana na elimu uliyonayo. bali unapangwa kutokana na position scale.

hata kama wewe ni profesa. kama kwenye kampuni ukipangiwa kufanya kama secretary wa bosi. basi utalipwa mshahara wa level ya secretary wanavyolipwa.

hata kama wewe ni darasa la saba. kwenye kampuni ukiajiriwa kama ceo.. hapo utalipwa mshahara kwa scale ya ceo ilivyopangwa..

ukiwa bank teller hata uwe na master, cpa sijui phd.. utalipwa kwa scale ya bank teller.

inshort mshahara unapangwa kutokana na cheo ulichonacho. au kazi unayoifanya salary scale yake ni shilingi ngapi.

"""mshahara haupangwi kutokana na elimu uliyonayo. bali unapangwa kutokana na position scale""" Ndivyo ulivyoajiriwa wewe lakini si wengine

General rule ni What you have on mind ndo it determine kiasi gani ulipwe. Sasa kama wewe una phd na umekubali kufanya kazi kama sekretary utalipwa mshahara wa secretary. Lakini kama unafanya kazi inayo MATCH PERFECT WITH THE KNOWLEDGE YOU POSSESS, yafaa ulipwe sawasawa na watu wa level yako.

Demand ya CPA ni kubwa, supply ni ndogo....hamkusoma economics!!! Price lazima iwe juu.
Sasa kama wewe ni CPA umekubali kulipwa ela ya dagaa, ni wewe umeamua. Lakini thamani yako siyo hio. Tutumie akili kwenye ku-negotiate salaries. Mijitu mingine inaenda kwenye interview haijui hata kichwa chao kina gharama gani (product cost)...utawezeje kuuza hiyo bidhaa, lazima upate hasara tu. Chini ya 1.5M sifanyi kazi, Bora nikajiajili
 
"""mshahara haupangwi kutokana na elimu uliyonayo. bali unapangwa kutokana na position scale""" Ndivyo ulivyoajiriwa wewe lakini si wengine

General rule ni What you have on mind ndo it determine kiasi gani ulipwe. Sasa kama wewe una phd na umekubali kufanya kazi kama sekretary utalipwa mshahara wa secretary. Lakini kama unafanya kazi inayo MATCH PERFECT WITH THE KNOWLEDGE YOU POSSESS, yafaa ulipwe sawasawa na watu wa level yako.

Demand ya CPA ni kubwa, supply ni ndogo....hamkusoma economics!!! Price lazima iwe juu.
Sasa kama wewe ni CPA umekubali kulipwa ela ya dagaa, ni wewe umeamua. Lakini thamani yako siyo hio. Tutumie akili kwenye ku-negotiate salaries. Mijitu mingine inaenda kwenye interview haijui hata kichwa chao kina gharama gani (product cost)...utawezeje kuuza hiyo bidhaa, lazima upate hasara tu. Chini ya 1.5M sifanyi kazi, Bora nikajiajili

ulichoongea ndio ninachokifahamu na ndio ukweli wa maisha.
 
Back
Top Bottom