Kima cha chini cha mshahara kwa CPA(T) without experience

Kima cha chini cha mshahara kwa CPA(T) without experience

asante.. swali sogo bungeni kuna mbunge maji marefu la saba na mbunge profesa tibaijuka.. je wanalipwa mishahara tofauti??

nenda crdb au nmb kuna ma tellor kibao wana masters na kuna wengine wameingia na diploma tu au form 6.. fanya research kama wanalipwa mshahara tofauti..

narudia tena cheo ndio kinaamua mshahara wako sio vyeti
cpa bado ipo juu ndugu zangu
 
People who have no CPA always are Jealous Usifanye Mchezo na Kukabidhiwa Muhuri na Board (NBAA)

Unakuaga hivi

Fulani Bin Fulani
Certified Public Accountant CPA (T)
National Board of Accountants and Auditors
Date..........…................
Tanzania now Kuna CPA 8000, Kama ni muhuri hata sisi masaveya tuna mihuri, architectures wana mihuri
 
Nipo serikalini now tena sehemu wanapoolipa mishahara mikubwa kuliko sehemu yoyote naomba nikupe elimu kinachokupa mshahara mkubwa ni cheo ambacho kinatokana na work experiences na achievements hata uwe na CPA name na masters sits na PhD tisa kama huna experience ukaajiliwa account office 2 baasi utalipwa mshahara saawa na account officer 2 wote

THE WAY FORWARD

elimu without experience is nothing tafuta work experience na achievements ndio utakula mema ya nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku halmashauri kwetu yupo binti mbichi ila anae CPA ila niishie hapa kwa leo
 
Nipo serikalini now tena sehemu wanapoolipa mishahara mikubwa kuliko sehemu yoyote naomba nikupe elimu kinachokupa mshahara mkubwa ni cheo ambacho kinatokana na work experiences na achievements hata uwe na CPA 8 na masters 6 na PhD 9 kama huna experience ukaajiliwa account office 2 baasi utalipwa mshahara saawa na account officer 2 wote

THE WAY FORWARD

elimu without experience is nothing tafuta work experience na achievements ndio utakula mema ya nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimegundua humu watoto wengi sana.

na wengi wenu hamjawahi kuajiriwa kwenye corporates na kuona mfumo wa formal sector ulivyo.

sikilizeni kwa makini vijana. msijidanganye.

mshahara haupangwi kutokana na elimu uliyonayo. bali unapangwa kutokana na position scale.

hata kama wewe ni profesa. kama kwenye kampuni ukipangiwa kufanya kama secretary wa bosi. basi utalipwa mshahara wa level ya secretary wanavyolipwa.

hata kama wewe ni darasa la saba. kwenye kampuni ukiajiriwa kama ceo.. hapo utalipwa mshahara kwa scale ya ceo ilivyopangwa..

ukiwa bank teller hata uwe na master, cpa sijui phd.. utalipwa kwa scale ya bank teller.

inshort mshahara unapangwa kutokana na cheo ulichonacho. au kazi unayoifanya salary scale yake ni shilingi ngapi.
Wewe ndio umewaeleza ukweli.
Wengine bado mind zao zinawaza mfumo wa mwaka 1990.
Siku hizi soko la ajira ni la ushindani na waajiri hawaangalii makaratasi tena na badala yake wanaangalia what you produce/output.
Kwa hiyo huu ni wakati wa kufocus Sana na sio kujitengenezea formula eti nikiwa na vyeti fulani nitalipwa kiwango fulani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom