Mkuu umeshindwa kuelewa kuwa aliyeufyata ni US...lengo la US ilikuwa ni kusitishwa kwa program ya nyuklia na makombora ya balistiki kwa kumshinikiza NK kuingia mazungumzo au kumshambulia.
Kim kagoma mazungumzo na bila kumumunya maneno kasema mpaka afikie lengo lake la kuimarisha silaha zake za nyuklia na makombora ya balistik. Na akasema wazi lengo lake ni kwa ajili ya kupambana na US kama wakijaribu kumshambulia.
Kim aendelea vema na Program yake ya nyuklia na ndani ya miezi 12 atatangaza kukamilika kwa program yake
North Korea may announce completion of nuclear program within a year: South Korea minister
Japan detects radio signals pointing to possible North Korea missile test: source
Kina Saddam na Gadafi walishambuliwa mara moja bila hata ya kuonekana wakijaribisha silaha za nyuklia...Sasa Kim anazionesha wazi na US anabaki kulalama UN, na hakuna cha mshirika wala nani kuinua kidole