Stabilaiza
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 1,843
- 1,143
- Thread starter
-
- #41
Nguvu ya umma inatakiwa uratibu. Hawa wanasiasa tunawalipa ruzuku waifanyie kazi kwa kuratibu nguvu hii ili kupinga ongezeko la bei ya umeme. Leo ni tarehe 29 wala sijasikia lolote kutoka kwa wanasiasa kupinga hali hii.nguvu ya umma.
forget politicians!
Kabla ya kwenda kwenye hiyo source, naomba u-highlight key idea kwenye hiyo literature.Thanks Man umenisaidia sana kujua kinachoendelea juu ya sakata la BEI YA UMEME hapa Nchini kupitia simulizi la 'the CONFESSIONS OF AN ECONOMIC HITMAN' by PERKINS.
Too low for a great thinkernitaanzisha chama changu ambacho kitakuwa hakina ukanda ukabila umimi nitatumia muda mwingi kushugulikia matitizo ya walipa kodi kutatua matatizo yao na si kutumia pesa luzuku kwa kuandaa hekaya feki kama cdm na kijiripua
Good idea. Lakini yote hayo ya nini ikiwa pressure ya wananchi kukutaa ongezeko ni option? Wanasiasa wafanye kazi yao waache siasa zisizo saidia wananchi.bora kununua sola kubwa na kuachana na hii tanesco
Sasa kwanini wasilipe wahusika wakati wanapanga bajeti zao kila mwaka?kama umewasikiliza vizuri, tanesco inadaiwa bil 400. Hilo ni deni la serikali na taasisi zake mfano vyombo vya ulinzi na kila mwaka wana bajeti ya matumizi ya kawaida. Ni mfumo usiokuwa wa uwajibikaji wizara haziulizwi kama zimelipa madeni. wanajua nini kinachoendelea
Kwa hiyo kama ni USA sisi tuumie kwa ajili ya urafiki wao na USA?Miradi ya umeme inahusisha Taifa kubwa USA...
Hizo asilimia unajua zina maana gani? Kulipa zaidi ya mara mbili unaona sawa, au una ni mmoja wa wanaokula kuku kwa mrija ndani ya serikali na chama tawalaNimesikia umeme hauta panda kwa kiwango kimoja kwa wote
1. Walio kuwa wanatumia unit 0-50 bei itapanda chini ya 40%
2. Walio kuwa wanatumia unit kati ya 50-75 bei zao zitapungua zitafanana na namba moja hapo juu, kwa kuwa watumiaji wa chini wamepandishwa hadi wanao tumia unit 75 kutoka 50.
3. Walio kuwa wanatumia zaidi ya 75 kwa matumizi ya nyumbani bei itapanda zaidi ya 40%
4. Wenye viwanga bei itapanda zaidi ya 40% kama sijakosea.
Ila namba tatu ndio watakuwa wanalipa bei ya juu kuliko makundi yote.
Anaye jua zaidi anaweza kutusaidia zaidi ...
Soon mtafahamu nini kilichoko nyuma ya pazia...hao ni untouchable, Symbion imeandaliwa kuchukua kazi zote za TANESCO...NETGROUP Solution ilishatengeneza miundo mbinu long time...kinachofanywa kwa sasa ni utekelezaji tu... we are done...Kwa hiyo kama ni USA sisi tuumie kwa ajili ya urafiki wao na USA?
Soon mtafahamu nini kilichoko nyuma ya pazia...hao ni untouchable, Symbion imeandaliwa kuchukua kazi zote za TANESCO...NETGROUP Solution ilishatengeneza miundo mbinu long time...kinachofanywa kwa sasa ni utekelezaji tu... we are done...
Kabla ya kwenda kwenye hiyo source, naomba u-highlight key idea kwenye hiyo literature.
Mkuu usiwachukulie poa poa... hawa watu wanamipango ya muda wakati na muda mrefu! Obama alikuja hapa akatutangazia eti wamepitisha misaada ya dola million 11...fedha zote hizo zimeingizwa kugharamia miradi ya Symbion kule kusini! Miradi yao ya power Africa inamalengo ya kuhakikisha kuwa nchi karibu zote za kiafrica zitakuwa zinategemea umeme unaozalishwa na mashirika ya USA! Wamefanya hivi katika nchi za Ecuador, Bolivia, Malaysia na nchi nyingi za kiarabu...kwa kuanzia walianza kama walivyofanya kwetu; kwanza walianza kwa kuihujumu TANESCO zao, baada ya hapo wakalazimisha kubinafsisha kazi zao, kisha wakaingia mikataba yamiaka mingi ya uzalishaji na uendeshaji!...Mi nadhani wafie mbali huko
eeh mungu ibariki ccm iendelee kufanya hivyo hivyo me natafuta kishoka siwezi mudu gharama hizo yaani nauwanza mwaka kwa kuumia najua wengine yatawakuta tu nyie nendeni mkanunue umeme mjionee yaliyojiri leo 2014