Abbyarico
Member
- Aug 5, 2021
- 50
- 42
Habari za kutwa wapendwa ndugu na jamaa. Napenda kuchukua wasaha huu kwa kuweza kujoin kwa pamoja na wana JF wenzangu na waalimu wazuri wa kilimo.
Lengo la kuuandaa chapisho hili ni kutaka msaada kwa wataalamu wa kilimo cha miwa.
1 Jinsi ya uandaaji wa shamba
2-Jinsi ya uandaaji wa mbegu
3-Jinsi ya kupanda
4-Mbolea na madawa mazuri ya kutumia ili
Mmea uweze kuwa na afya nzuri
5-Muda wa mavuno
6- Ushauri wa mwalimu au mshiriki yeyote
Kwenye chapisho hili juu ya kilimo hiki
Cha miwa
7-Masoko, faida na hasara ya kilimo hiki
Karibuni sana ndugu zangu kwa msaada; kilimo ni ajira tukomboeni vijana kwa elimu kama hizi kusudi tuachane na mambo ya kulalamikia ajira mitandaoni.
Karibu sanaaa kwa msaada [mention]CHASHA FARMING [/mention] [mention]kilimo biashara [/mention] [mention]Kilimo na Ufugaji Bora [/mention] [mention]kilimo kwz [/mention] uwanja ni wa kwenu sasa
Lengo la kuuandaa chapisho hili ni kutaka msaada kwa wataalamu wa kilimo cha miwa.
1 Jinsi ya uandaaji wa shamba
2-Jinsi ya uandaaji wa mbegu
3-Jinsi ya kupanda
4-Mbolea na madawa mazuri ya kutumia ili
Mmea uweze kuwa na afya nzuri
5-Muda wa mavuno
6- Ushauri wa mwalimu au mshiriki yeyote
Kwenye chapisho hili juu ya kilimo hiki
Cha miwa
7-Masoko, faida na hasara ya kilimo hiki
Karibuni sana ndugu zangu kwa msaada; kilimo ni ajira tukomboeni vijana kwa elimu kama hizi kusudi tuachane na mambo ya kulalamikia ajira mitandaoni.
Karibu sanaaa kwa msaada [mention]CHASHA FARMING [/mention] [mention]kilimo biashara [/mention] [mention]Kilimo na Ufugaji Bora [/mention] [mention]kilimo kwz [/mention] uwanja ni wa kwenu sasa