mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,843
ni waaminifu hao.wape tu.
Wakuu Wa Kilimo habari!
Naombeni kujuzwa habari za hawa jamaa wanajiita JATU KILIMO, wao wanajinadi kuwa ni kampuni kubwa lenye makao yake dsm, Kazi mojawapo wanayofanya ni kuwasadia wakulima kwa kuwaunganisha na kudanya kilimo kwa niaba yao. Yaani mkulima unatoa pesa 678,000 kwajili ya kilimo cha mahindi, wao watafanya kila kitu kuanzia kulima, kuhudumia mpaka kuvuna, na kukuwekea gharani, kwa eka moja mkulima anapewa magunia 30 ya mahindi hivyo hivyo kwenye mazao mengine kama maharage, mpungu na alizeti.
Maswali yangu.
1. Je, kuna mtu aliswhai kulima now? vile wanaahidi ni vya kweli??
2. Je, kuna harufu yeyote ya utapeli kwenye miradi yao hio?
3. Je, hakuna ubabaishaji wowote?
4. Je, wewe ulishawai kufanyanao biashara hio na ukapata kama wanavyoahidi?
Naombeni maoni yenu wadau, maana natamani nijilipue na eka 50 za mahindi huko kiteto
Wakuu Wa Kilimo habari!
Naombeni kujuzwa habari za hawa jamaa wanajiita JATU KILIMO, wao wanajinadi kuwa ni kampuni kubwa lenye makao yake dsm, Kazi mojawapo wanayofanya ni kuwasadia wakulima kwa kuwaunganisha na kudanya kilimo kwa niaba yao. Yaani mkulima unatoa pesa 678,000 kwajili ya kilimo cha mahindi, wao watafanya kila kitu kuanzia kulima, kuhudumia mpaka kuvuna, na kukuwekea gharani, kwa eka moja mkulima anapewa magunia 30 ya mahindi hivyo hivyo kwenye mazao mengine kama maharage, mpungu na alizeti.
Maswali yangu.
1. Je, kuna mtu aliswhai kulima now? vile wanaahidi ni vya kweli??
2. Je, kuna harufu yeyote ya utapeli kwenye miradi yao hio?
3. Je, hakuna ubabaishaji wowote?
4. Je, wewe ulishawai kufanyanao biashara hio na ukapata kama wanavyoahidi?
Naombeni maoni yenu wadau, maana natamani nijilipue na eka 50 za mahindi huko kiteto
Asante mkuu, Ofisi zao najua na zingine zipo hapa PPF Samora, nilihitaji shuhuda wa nje na wao, kwamaana nikienda kwao watanipa mambo mazuri tu bila kuweka mabayaOfisi zao pale Dar nadhani zipo mule ndani yanapofanyikaga maonesho ya sabasaba(am not sure kama bado hawaja hama).
Nenda kawaulize maswali yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu eleza kidogo mkuu , je uliwai fanya nao biasharani waaminifu hao.wape tu.
Mmmh kumbe, basi watakuwa wahuni tu hawaNiliwai enda ofisin kwao.sikuwaelewa kabisa..wanachoandika kwenye vipeperush ni tofaut na wanachoongea ukienda pale..
Hebu eleza kidogo mkuu , je uliwai fanya nao biashara
Kweli mjingawewe, toa mahela hayo watu wale!Hapana na sitowahi
a.k.a Mr kukuPONZI SCHEME naamini hawana tofauti na wale wa KUKU kule Kigamboni.
kulima utalima na kuvuna apart of all ya shambani utalipwa hela baada ya mavuno kwa zengwe sana na bei ya mazao ni tofauti na mtaani mf maharage kipindi yanafika hadi 2800-3000@kg wao ilikua 1850 -19000Wakuu Wa Kilimo habari!
Naombeni kujuzwa habari za hawa jamaa wanajiita JATU KILIMO, wao wanajinadi kuwa ni kampuni kubwa lenye makao yake dsm, Kazi mojawapo wanayofanya ni kuwasadia wakulima kwa kuwaunganisha na kudanya kilimo kwa niaba yao. Yaani mkulima unatoa pesa 678,000 kwajili ya kilimo cha mahindi, wao watafanya kila kitu kuanzia kulima, kuhudumia mpaka kuvuna, na kukuwekea gharani, kwa eka moja mkulima anapewa magunia 30 ya mahindi hivyo hivyo kwenye mazao mengine kama maharage, mpungu na alizeti.
Maswali yangu.
1. Je, kuna mtu aliswhai kulima now? vile wanaahidi ni vya kweli??
2. Je, kuna harufu yeyote ya utapeli kwenye miradi yao hio?
3. Je, hakuna ubabaishaji wowote?
4. Je, wewe ulishawai kufanyanao biashara hio na ukapata kama wanavyoahidi?
Naombeni maoni yenu wadau, maana natamani nijilipue na eka 50 za mahindi huko kiteto
Wakuu Wa Kilimo habari!
Naombeni kujuzwa habari za hawa jamaa wanajiita JATU KILIMO, wao wanajinadi kuwa ni kampuni kubwa lenye makao yake dsm, Kazi mojawapo wanayofanya ni kuwasadia wakulima kwa kuwaunganisha na kudanya kilimo kwa niaba yao. Yaani mkulima unatoa pesa 678,000 kwajili ya kilimo cha mahindi, wao watafanya kila kitu kuanzia kulima, kuhudumia mpaka kuvuna, na kukuwekea gharani, kwa eka moja mkulima anapewa magunia 30 ya mahindi hivyo hivyo kwenye mazao mengine kama maharage, mpungu na alizeti.
Maswali yangu.
1. Je, kuna mtu aliswhai kulima now? vile wanaahidi ni vya kweli??
2. Je, kuna harufu yeyote ya utapeli kwenye miradi yao hio?
3. Je, hakuna ubabaishaji wowote?
4. Je, wewe ulishawai kufanyanao biashara hio na ukapata kama wanavyoahidi?
Naombeni maoni yenu wadau, maana natamani nijilipue na eka 50 za mahindi huko kiteto
Daaah.!! Hapo ndug umenena ukwr 100%Kama una Passion ya kilimo ingia shambani lima na huu ndo mfumo wa kilimo Dunia nzima.
Hi sijii unatoa pesa ulimiqe ni vitu vya ajabu sana
Kitu cha msingi ni kujua anwani yao, kama wana tovuti pia ili kufanya nao mawasiliano ya moja kwa moja. Pia ekari moja ya mahindi kutoa magunia, lazima kiwe ni kilomo cha kisasa kinachojumisha na umwagiiaji si kutegemea mvua. Afalu wanatoa huduma kwa watu wa ukanda gani? Maana mtu anawezakuwa monduli au Longido anataka huduma kama hiyo , utaratibu utakuwaje? Pia katik hali ya sasa ni lazima kuwepo na mkataba kati ya mkulima na hiyo kampuni (mktaba wa kisheria ili Kampuni ikizengua iwe rahisi kwa mkulima kurejeshewa fedha zake)Cc. Mr Kuku
DECI
Q NET & Co.
Kuna kamsema maarufu humu; ukiitwa kwenye fursa jua wewe ndio fursa
Tusubiri wanufaika waje waseme neno
Ndugu TAJIRI MSOMI huo ni utapeli, sikushauri hata kidogo. Ingia Shambani mwenyewe ukalime, kilimo cha simu ni utapeli mkubwa. Kama unayo hiyo hela fanya uwekezaji mwingine kama huna muda wa kulima au kuingia shambani ukasimamia kwa asilimia 100.
Na Kijani Kibichi ya Adam Rashid Ngemange, matapeli
Mkuu naona JATU wameingiza hisa zao DSE so inawezekana wapo real in the business me nitajaribu kwa uchache coz it worth to try than not nime calculate risk naona Bora nikatest na amount ndogoWakuu Wa Kilimo habari!
Naombeni kujuzwa habari za hawa jamaa wanajiita JATU KILIMO, wao wanajinadi kuwa ni kampuni kubwa lenye makao yake dsm, Kazi mojawapo wanayofanya ni kuwasadia wakulima kwa kuwaunganisha na kudanya kilimo kwa niaba yao. Yaani mkulima unatoa pesa 678,000 kwajili ya kilimo cha mahindi, wao watafanya kila kitu kuanzia kulima, kuhudumia mpaka kuvuna, na kukuwekea gharani, kwa eka moja mkulima anapewa magunia 30 ya mahindi hivyo hivyo kwenye mazao mengine kama maharage, mpungu na alizeti.
Maswali yangu.
1. Je, kuna mtu aliswhai kulima now? vile wanaahidi ni vya kweli??
2. Je, kuna harufu yeyote ya utapeli kwenye miradi yao hio?
3. Je, hakuna ubabaishaji wowote?
4. Je, wewe ulishawai kufanyanao biashara hio na ukapata kama wanavyoahidi?
Naombeni maoni yenu wadau, maana natamani nijilipue na eka 50 za mahindi huko kiteto
DSE 🤣 huko wameenda kutafuta mtaji,Mkuu naona JATU wameingiza hisa zao DSE so inawezekana wapo real in the business me nitajaribu kwa uchache coz it worth to try than not nime calculate risk naona Bora nikatest na amount ndogo
DSE 🤣 huko wameenda
Point taken,so inabid tuwapige mapema b4 hatujapigwa..😎DSE 🤣 huko wameenda kutafuta mtaji,
Wana hisa kwenye makampuni huko DSE mengine kama Precisionair, hizo share certificate ni bora kuzichambia, unaelekea mwaka wa 10, hakuna dividends hakuna hisa kuuzika.
Makampuni mengi hata faida hayajagawa huu mwaka wa 3, na hisa haziuziki.
Everyday is Saturday................................
Jumatatu this week bei ya hisa zao ilikua 420/= but Leo mchana imefika 500/= (+8%) hopeful next week Itakua juu sana ...Point taken,so inabid tuwapige mapema b4 hatujapigwa..😎
Kuwa in DSE haimaanishi chochote zaidi kwenda kutafuta kukuza mitaji especially kwa bongo, na hapa wanapigwa wasio na experience na DSE. Kampuni inatakiwa ku perform FINANCIALLY. Kuna michezo yao huko kwenye stock exchange, wengine hatuijui. Lakini tulishang'atwa na nyoka, hata jani tunakimbia.Nyie mlokuwa mnaandika mnavyowaza
Leo mna jipya , JATU Plc in DSE , here we go ..