Kilimo gani kina asilimia kubwa ya kufanikiwa?

Kwa waTz, ukikopesha andaa kabisa gharama za kesi za madai
 
Hapo ni kilimo cha umwagiliaji au 'green house' ndo unaeza kupanga muda wa kuvuna.. ila kwa kusubiri mvua, lzm utoe offer ya mavuno buree
 
Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.

Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30.

Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.

Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
 
Tatizo inakuwa ni mtaji ila kama utaweza kupata mtaji kwenye kilimo na ukaanza kununua nafaka kama mahindi utapiga hela na stress hazitakuwepo kabisa
Ni kweli kitu kinachitufanya kulima au kufanya biashara katika scale ndogo ni MTAJI. mtu mwenye taji mdogo ni vizuri kulima, pia ukiwa na muda. ukiwa na mtaji mkubwa na usimamizi thabiti pamoja na ushauri wa kitaalamu kilimo hakikutupi.
 
Kuongeza dependency chain na kuwa na kundi kubwa la wenye uhitaji wa mambo basic kwenye maisha. Feeding an hungry man with just little food ili asife, lakini asifanye kazi ya maana. otherwise haieleweki karibu miaka 60 ya uhuru tunaimba wimbo uleule.
 
Well said.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…