antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 44,112
- 118,095
Kwa waTz, ukikopesha andaa kabisa gharama za kesi za madaiBiashara ya kilimo nadhani sio biashara ya cash wakulima wengi hawaelewi hilo. Kuna mazao ni wanted hayo unaweza uza kwa cash, ila mazao kama hizo nyanya asee kwa mkulima nadhani ingekua vyema ukiwa unavuna unaandaa wafanyabiashara wako wa uhakika Unawakopesha.
Hamna ataekataa kukopa..unawapelekea hadi walipo kwa gharama zako then hela yako unaipitia after a month ila tatizo wa wakulima wa Tanzania mitaji yao huishia kupanda mpk kwenye Kuvuna, akishavuna pale hana hata hela ya Kusafirisha yale mazao kuyaleta MJINI (MASOKONI) anakaa anatafuta mteja angali mazao yapo shambani.
Mwisho wa siku mazao yanaendelea kuoza na kuharibika ila naamini wakulima wakijipanga kwenye kilimo akaingia na Hela ya Mbegu, Kilimo, Mavuno, usafiri mpaka kwa mlaji kisha akakopesha. Uhakika wa kutolia ukosekanaji wa SOKO ni mdogo sana sana.