Mwaka huu huenda ufuta usiwe mwingi thou kwa bei za wachuuzi wiki hii huko Morogoro bei ilikuwa around 4000 kwa kilo.Kuko kimya Sana hapa, hiki kilimo hakilipi tena nn??
Watu wanalima kwa kukurupuka na kufata mkumbo wa hamasishajiMlianza na Alizeti, matikiti, mayai ya kware, vanilla, parachichi na mnarudia kulukule kwenye ufuta.
Shauri zenu nyie limeni tu tutakuja kununua kilo sh 500 kumbuka vita ya Ukraine Bado inaendelea.
Iga ufe!
mrangi mgt software Countrywide
Bei ya dsm ni ngap? Na soko lake liko wapu vipi inaruhusiwa kutoa nnje ya nchi?Mwaka huu huenda ufuta usiwe mwingi thou kwa bei za wachuuzi wiki hii huko Morogoro bei ilikuwa around 4000 kwa kilo.
Ukipata naomba nijiunge piaMsaada mwenye watsup group Kwa kilimo cha ufuta tafadhari
Mbona yapo magroup mengi sina ya kilimo whatsapp na telegramUkipata naomba nijiunge pia
Utuunge kakaMbona yapo magroup mengi sina ya kilimo whatsapp na telegram
Niunge na mmUtuunge kaka
unataka kununua ukauze nje za nch au unataka kununua ili ukauze kwenye vyama vza ushirikaJamani mwaka huu nataka kununua ufuta kwa yoyote mwenye elimu na uelewa na biashara hii naomba anipe muongozo.
Nauza kwenye vyamaunataka kununua ukauze nje za nch au unataka kununua ili ukauze kwenye vyama vza ushirika
Ahhhh ok kilwa maeneo gani? MkuuLeo kulikuwa na Mnada Kilwa, bei ni 4000/kg. Nenda huko ukanunue mkuu kabla haujapanda zaidi.
Hilo ni eneo augood.enough
Wazoefu tunaomba maelekezo n mm natak nilime ufutaWakuu Habarini. Mimi ni Mdau wa kilimo. Mwaka huu nimepanga kulima ekari 30 za ufuta Morogoro. Hivi sasa ndo nang’oa visiki shambani kwani shamba halijawahi kulimwa (virgin land). Sasa kwa wale wazoefu naombeni uzoefu wenu katika haya yafuatayo
1. Ni wakati gani sahihi wa kupanda
2. Mbegu gani ni bora zaidi ya kukupa mavuno mazuri na bei zake zikoje?
3. Je kuna dawa ya kuua magugu/nyasi kabla ya kupanda. Na inapuliziwa muda gani kabla ya kupanda?
4. Je kwa hili shamba jipya lenye rutuba litahitaji mbolea? Na kama linahitaji je ni mbolea gani iliyo nzuri zaidi.
5. Kuhusu soko najua msimu huu ulikuwa mzuri nahisi mwakani itakuwa maradufu.
Biblia inasema “Kama mwataka mali mtazipata shambani “ nami nimeamua kuitekeleza kwa vitendo.