PatriceLumumba
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 426
- 578
80% ya parachichi zinatoka Kilimanjaro hata Arusha wanatoa Moshi - Dar msimu wake hutokea Kilimanjaro, msimu ukiisha yanaenda fatwa Burundi na mnufaikaji mkubwa sio mkulima ni mtu wa kati na hata ukipanda miti 20 leo hadi ije kuzaa na hata ikizaa siokuja kukupa pensheni mzee.
Gunia la parachichi za Rombo baada ya kufika Dar ni 60,000 hadi 75,000 inategemea na msimu. Sasa kula hesabu gharama ya kutoa shamba hadi Dar na anaeleta Dar ananunua sokoni kwa anaetoa shamba. Kuna za Machame sasa ambazo ndio zinafanana na za Mbeya izo kuiva ni siku 1 tu ukijitekenya zinaivia njiani zinaharibika, ndio maana kuzitoa Mbeya ni jau sana na sio nzuri kama za Rombo na gunia lake ni 45000-50000 zikifika Dar. Sasa jiulize unazopanda ni zipi, Je, zitakupa pensheni?
tembajr,
Ndugu ina inaitwa HASS inaweza kukaa hata mwezi ukichuma ikiwa imekomaa bila kuoza ni kama zile embe za bolibo. na hizi nying husafirishwa nje na hapa jamaa anazungumzia kampuni ya kuuza nje.
Iko kampuni moja inaitwa AFRICADO iko kilimanjaro wanasafirisha sana parachichi kwenda Uyala.
LUMUMBA