King Loto
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,573
- 1,344
Umenipa Mwanga, nitawafuatilia na nitakupa mrejesho iwezekanavyo, Asante kwa huu ushauri bossPanda mbegu moja inaitwa hass kwanza ndo parachichi tamu zaidi likiiva na yanapelekwa hadi masoko ya nje, kama unafanyia Moshi nenda Usa River Arusha, kuna chama kinaitwa TAHA. Ukiweza waGoogle watakupatia mbegu idadi yeyote utakayo hata miche na unapewa bure yakiiva wanakutafutia na soko wao wanakukata asilimia 10% ya malipo yako, hawana wizi wala konakona wateja wanao tayari.