Kilimo cha ndizi kitakachokupa matokeo bora

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,595
215,281
banana-plant-768x540.jpg

Tumezoea kupanda miche ya ndizi, unaweza kuinunua au kuomba kwa jirani. Lakini ndizi iliyokomaa na kuiva inaweza kukupa mbegu naipanda ndizi kwenye karai bovu lenye matobo ili maji yasituame, weka udongo wenye mbolea kwenye karai na uwe unamwagilia maji kila siku. Baada wiki mbili au tatu utaona majani ya ndizi yanaanza kuota. Miche ikifika urefu wa inch 6 inaweza kuihamishia kwenye kitalu ambacho ni tuta. Hakikisha unaipanda kwa nafasi ya futi mbili kati ya mche na mche.

Miche ikifika urefu wa futi 2-3 unaweza kuihamishia shambani. Katika shamba chimba shimo la futi moja, weka mbolea na udongo, kama viganja viwili kwanza, weka mche wa ndizi funika kwa kwa mbolea na undongo, kabla hukafika juu weka chupa ya litre mbili za maji iliyokatwa kitako. Kitako kiangalie juu. Chupa hii itakusaidia wakati wa kumwagilia.

Maji ni muhimu sana katika kilimo cha ndizi. Unaweza kumwagilia maji kwa mifereji, kwa njia hii huhitaji chupa. Chupa ni muhimu kama unamwagilia kwa ndoo au kwa mpira. Wengi wanachimba kisima na kupump maji kwenye sim tank. Ukiwa na mpira mrefu wa maji unarahisiha kazi.

Wengi tunatumia ndizi kama chakula, kwa kilimo hiki unaweza kuwa na uhakika wa ndizi ya kula kila wiki katika eneo nusu ekari. Zikiwa nyingi huwa ninamenya na kuweka katika mifuko ya plastic na kuhifadhi kwenye freezer. Nyingine huwa ninapeleka sokoni na pia ninavumbika hasa ndizi mzuzu.

Ndizi mzuzu unakweza kuzichemsha na zikiiva unaponda kwenye kinu, zinatoa ugali mtamu sana, ugali huu unawafaa sana wenye kisukari.
 

Tumezoea kupanda miche ya ndizi, unaweza kuinunua au kuomba kwa jirani. Lakini ndizi iliyokomaa na kuiva inaweza kukupa mbegu naipanda ndizi kwenye karai bovu lenye matobo ili maji yasituame, weka udongo wenye mbolea kwenye karai na uwe unamwagilia maji kila siku. Baada ya siku nne utaona majani ya ndizi yanaanza kuota. Miche ikifika urefu wa inch 6 inaweza kuihamishia kwenye kitalu ambacho ni tuta. Hakikisha unaipanda kwa nafasi ya futi mbili kati ya mche na mche.

Miche ikifika urefu wa futi 2-3 unaweza kuihamishia shambani. Katika shamba chimba shimo la futi moja, weka mbolea na udongo, kama viganja viwili kwanza, weka mche wa ndizi funika kwa kwa mbolea na undongo, kabla hukafika juu weka chupa ya litre mbili za maji iliyokatwa kitako. Kitako kiangalie juu. Chupa hii itakusaidia wakati wa kumwagilia.

Maji ni muhimu sana katika kilimo cha ndizi. Unaweza kumwagilia maji kwa mifereji, kwa njia hii huhitaji chupa. Chupa ni muhimu kama unamwagilia kwa ndoo au kwa mpira. Wengi wanachimba kisima na kupump maji kwenye sim tank. Ukiwa na mpira mrefu wa maji unarahisiha kazi.

Wengi tunatumia ndizi kama chakula, kwa kilimo hiki unaweza kuwa na uhakika wa ndizi ya kula kila wiki katika eneo nusu ekari. Zikiwa nyingi huwa ninamenya na kuweka katika mifuko ya plastic na kuhifadhi kwenye freezer. Nyingine huwa ninapeleka sokoni na pia ninavumbika hasa ndizi mzuzu.

Ndizi mzuzu unakweza kuzichemsha na zikiiva unaponda kwenye kinu, zinatoa ugali mtamu sana, ugali huu unawafaa sana wenye kisukari.
Mkuu huo mtindo unafaa kwa jamii zote za ndizi?
 

Tumezoea kupanda miche ya ndizi, unaweza kuinunua au kuomba kwa jirani. Lakini ndizi iliyokomaa na kuiva inaweza kukupa mbegu naipanda ndizi kwenye karai bovu lenye matobo ili maji yasituame, weka udongo wenye mbolea kwenye karai na uwe unamwagilia maji kila siku. Baada ya siku nne utaona majani ya ndizi yanaanza kuota. Miche ikifika urefu wa inch 6 inaweza kuihamishia kwenye kitalu ambacho ni tuta. Hakikisha unaipanda kwa nafasi ya futi mbili kati ya mche na mche.

Miche ikifika urefu wa futi 2-3 unaweza kuihamishia shambani. Katika shamba chimba shimo la futi moja, weka mbolea na udongo, kama viganja viwili kwanza, weka mche wa ndizi funika kwa kwa mbolea na undongo, kabla hukafika juu weka chupa ya litre mbili za maji iliyokatwa kitako. Kitako kiangalie juu. Chupa hii itakusaidia wakati wa kumwagilia.

Maji ni muhimu sana katika kilimo cha ndizi. Unaweza kumwagilia maji kwa mifereji, kwa njia hii huhitaji chupa. Chupa ni muhimu kama unamwagilia kwa ndoo au kwa mpira. Wengi wanachimba kisima na kupump maji kwenye sim tank. Ukiwa na mpira mrefu wa maji unarahisiha kazi.

Wengi tunatumia ndizi kama chakula, kwa kilimo hiki unaweza kuwa na uhakika wa ndizi ya kula kila wiki katika eneo nusu ekari. Zikiwa nyingi huwa ninamenya na kuweka katika mifuko ya plastic na kuhifadhi kwenye freezer. Nyingine huwa ninapeleka sokoni na pia ninavumbika hasa ndizi mzuzu.

Ndizi mzuzu unakweza kuzichemsha na zikiiva unaponda kwenye kinu, zinatoa ugali mtamu sana, ugali huu unawafaa sana wenye kisukari.
Hiyo ndizi mbivu unaipanda na maganda yake au uyatoa?

#MaendeleoHayanaChama
 
Hiyo ndizi mbivu unaipanda na maganda yake au uyatoa?

#MaendeleoHayanaChama

How to Grow Bananas from Seeds​

Here are 6 simple steps to follow when growing bananas from seed:



Soak​

Give the seeds a headstart by softening and warming them up. Put the seeds in a bowl and cover them with warm water, changing the water when it cools down. Leave the seeds to soak for 48 hours to help the embryo sprout.

Prepare​

Put seeds in a seed tray indoors. Use potting soil with lots of organic compost and more than half sandy/airy loam. As the seed sprouts and matures, it will need the nutrients provided by the compost.



Sow​

Sow seeds .25 inches deep in the tray. Sowing seeds outdoors in a bed is not possible unless the soil temperature remains above 68 degrees Fahrenheit.

Prepare​

Put seeds in a seed tray indoors. Use potting soil with lots of organic compost and more than half sandy/airy loam. As the seed sprouts and matures, it will need the nutrients provided by the compost.



Sow​

Sow seeds .25 inches deep in the tray. Sowing seeds outdoors in a bed is not possible unless the soil temperature remains above 68 degrees Fahrenheit.

Water​

Water the tray so that the soil becomes moist, but not soggy. Take care not to drown the seed, only maintain conditions that are damp as the seed settles in and begins to germinate. Soil that is too wet can cause the seed to rot.



Pay attention to temperature​

Use a heat mat on a timer to maintain an indoor soil temperature of at least 60 degrees Fahrenheit. Depending on the variety of the banana, it may need as much as 19 hours of cool temperatures and only 5 hours of warm, but research your seed to maintain the correct ratio.



Give it time​

You can't rush banana seed germination. Depending on your variety, seeds could germinate in two to three weeks or it could happen in two or more months.



How Bananas Produce​

The flowering stalk of a banana is called the "banana inflorescence."3 Emerging from the middle of the "pseudostem" 10 to 15 months after the seed has been sown, it will likely be surrounded by 26 to 32 leaves by then. The banana flowering, or "shooting," process is characterized by flowers appearing in spirals on the axis of the stalk in groups of 10 to 20. Fleshy bracts, purplish-to-greenish in color, eventually shed and give way to the first flowers that are functionally female.


Edible cultivars like the ones listed above have fast-growing ovaries that develop without pollination into clusters of fruits, some of which can produce seeds. The last flowers, functionally male, come next. When you plant rhizomes, the time from shooting to fruiting is typically 180 days depending on the cultivar, temperature, and the moisture of the soil. When grown from seeds, expect to wait 14 months or more.

 

Tumezoea kupanda miche ya ndizi, unaweza kuinunua au kuomba kwa jirani. Lakini ndizi iliyokomaa na kuiva inaweza kukupa mbegu naipanda ndizi kwenye karai bovu lenye matobo ili maji yasituame, weka udongo wenye mbolea kwenye karai na uwe unamwagilia maji kila siku. Baada ya siku nne utaona majani ya ndizi yanaanza kuota. Miche ikifika urefu wa inch 6 inaweza kuihamishia kwenye kitalu ambacho ni tuta. Hakikisha unaipanda kwa nafasi ya futi mbili kati ya mche na mche.

Miche ikifika urefu wa futi 2-3 unaweza kuihamishia shambani. Katika shamba chimba shimo la futi moja, weka mbolea na udongo, kama viganja viwili kwanza, weka mche wa ndizi funika kwa kwa mbolea na undongo, kabla hukafika juu weka chupa ya litre mbili za maji iliyokatwa kitako. Kitako kiangalie juu. Chupa hii itakusaidia wakati wa kumwagilia.

Maji ni muhimu sana katika kilimo cha ndizi. Unaweza kumwagilia maji kwa mifereji, kwa njia hii huhitaji chupa. Chupa ni muhimu kama unamwagilia kwa ndoo au kwa mpira. Wengi wanachimba kisima na kupump maji kwenye sim tank. Ukiwa na mpira mrefu wa maji unarahisiha kazi.

Wengi tunatumia ndizi kama chakula, kwa kilimo hiki unaweza kuwa na uhakika wa ndizi ya kula kila wiki katika eneo nusu ekari. Zikiwa nyingi huwa ninamenya na kuweka katika mifuko ya plastic na kuhifadhi kwenye freezer. Nyingine huwa ninapeleka sokoni na pia ninavumbika hasa ndizi mzuzu.

Ndizi mzuzu unakweza kuzichemsha na zikiiva unaponda kwenye kinu, zinatoa ugali mtamu sana, ugali huu unawafaa sana wenye kisukari.
Madam kidogo uko nyuma, kwa sasa mashimo ya migomba ni futi 3 round dia., kina futi 2
na umbali wa shina na shina mita 2.5 to 4 tegemea na aina, migomba mirefu sana inahitaji nafasi pana
 

Tumezoea kupanda miche ya ndizi, unaweza kuinunua au kuomba kwa jirani. Lakini ndizi iliyokomaa na kuiva inaweza kukupa mbegu naipanda ndizi kwenye karai bovu lenye matobo ili maji yasituame, weka udongo wenye mbolea kwenye karai na uwe unamwagilia maji kila siku. Baada wiki mbili au tatu utaona majani ya ndizi yanaanza kuota. Miche ikifika urefu wa inch 6 inaweza kuihamishia kwenye kitalu ambacho ni tuta. Hakikisha unaipanda kwa nafasi ya futi mbili kati ya mche na mche.

Miche ikifika urefu wa futi 2-3 unaweza kuihamishia shambani. Katika shamba chimba shimo la futi moja, weka mbolea na udongo, kama viganja viwili kwanza, weka mche wa ndizi funika kwa kwa mbolea na undongo, kabla hukafika juu weka chupa ya litre mbili za maji iliyokatwa kitako. Kitako kiangalie juu. Chupa hii itakusaidia wakati wa kumwagilia.

Maji ni muhimu sana katika kilimo cha ndizi. Unaweza kumwagilia maji kwa mifereji, kwa njia hii huhitaji chupa. Chupa ni muhimu kama unamwagilia kwa ndoo au kwa mpira. Wengi wanachimba kisima na kupump maji kwenye sim tank. Ukiwa na mpira mrefu wa maji unarahisiha kazi.

Wengi tunatumia ndizi kama chakula, kwa kilimo hiki unaweza kuwa na uhakika wa ndizi ya kula kila wiki katika eneo nusu ekari. Zikiwa nyingi huwa ninamenya na kuweka katika mifuko ya plastic na kuhifadhi kwenye freezer. Nyingine huwa ninapeleka sokoni na pia ninavumbika hasa ndizi mzuzu.

Ndizi mzuzu unakweza kuzichemsha na zikiiva unaponda kwenye kinu, zinatoa ugali mtamu sana, ugali huu unawafaa sana wenye kisukari.
Ndizi mpaka sasa kuna njia tatu za kuzalisha, kwa njia ya tissue culture au maabara, macro propagation au njia ya kuchemsha na ya kutoa vitoto. Hii imeandikwa nadhani ulikotoa haiko applicable kwetu.
Recommended space ya migomba kwa nchi za tatu ni 4mx4m kutokana na ishu za magonjwa, wadudu na matunzo
 
Ndizi mpaka sasa kuna njia tatu za kuzalisha, kwa njia ya tissue culture au maabara, macro propagation au njia ya kuchemsha na ya kutoa vitoto. Hii imeandikwa nadhani ulikotoa haiko applicable kwetu.
Recommended space ya migomba kwa nchi za tatu ni 4mx4m kutokana na ishu za magonjwa, wadudu na matunzo
👏
 

Tumezoea kupanda miche ya ndizi, unaweza kuinunua au kuomba kwa jirani. Lakini ndizi iliyokomaa na kuiva inaweza kukupa mbegu naipanda ndizi kwenye karai bovu lenye matobo ili maji yasituame, weka udongo wenye mbolea kwenye karai na uwe unamwagilia maji kila siku. Baada wiki mbili au tatu utaona majani ya ndizi yanaanza kuota. Miche ikifika urefu wa inch 6 inaweza kuihamishia kwenye kitalu ambacho ni tuta. Hakikisha unaipanda kwa nafasi ya futi mbili kati ya mche na mche.

Miche ikifika urefu wa futi 2-3 unaweza kuihamishia shambani. Katika shamba chimba shimo la futi moja, weka mbolea na udongo, kama viganja viwili kwanza, weka mche wa ndizi funika kwa kwa mbolea na undongo, kabla hukafika juu weka chupa ya litre mbili za maji iliyokatwa kitako. Kitako kiangalie juu. Chupa hii itakusaidia wakati wa kumwagilia.

Maji ni muhimu sana katika kilimo cha ndizi. Unaweza kumwagilia maji kwa mifereji, kwa njia hii huhitaji chupa. Chupa ni muhimu kama unamwagilia kwa ndoo au kwa mpira. Wengi wanachimba kisima na kupump maji kwenye sim tank. Ukiwa na mpira mrefu wa maji unarahisiha kazi.

Wengi tunatumia ndizi kama chakula, kwa kilimo hiki unaweza kuwa na uhakika wa ndizi ya kula kila wiki katika eneo nusu ekari. Zikiwa nyingi huwa ninamenya na kuweka katika mifuko ya plastic na kuhifadhi kwenye freezer. Nyingine huwa ninapeleka sokoni na pia ninavumbika hasa ndizi mzuzu.

Ndizi mzuzu unakweza kuzichemsha na zikiiva unaponda kwenye kinu, zinatoa ugali mtamu sana, ugali huu unawafaa sana wenye kisukari.
🙏
 
Back
Top Bottom