Kisima
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 4,094
- 4,396
Habari wakuu!
Hongereni sana kwa harakati na mikakati madhubuti mfanyazo katika kuziteka fursa adhimu kupitia kilimo kwa mstakabari wa future ya familia zenu!
Binafsi nimekuwa nikinufaika na michango yenu katika huu uzi kimyakimya na wengi wenu hapa mmekua mkinihitaji kwajili ya huduma ya miche ya mitiki na wote tumemalizana kimyakimya tena kwa uaminifu uliotukuka!
Nawapa hongera sana nyote mlio thubutu kufanya uamzi wa kuwekeza kwenye upandaji miti-ni uamzi nyeti kwa watu makini na hakika hamtajuta, mbele yenu ni ya neema tele make miti haidanganyi ikishafikia umri wa mavuno basi hesabu pesa pesa pesa!!
Ushuhuda wa hili ninao mwenyewe. Nimezaliwa na kukulia kwa wapanda miti na nimeshuhudia unufaikaji wa mradi huu kwa miaka na miaka ningali mdogo.
Nawasihi msikate tamaa na muendeleze mapambano.
Kwa yeyote atakae hitaji miche ya miti hii asisite kunitafta; Mninga, mkomba/mkola/mkongo, mitiki, syprus carribeae, misila n.k tafadhari weka order nikuhudumie.
Napatikana JF muda wote ukinihitaji.
Karibuni sana...
Hongereni sana kwa harakati na mikakati madhubuti mfanyazo katika kuziteka fursa adhimu kupitia kilimo kwa mstakabari wa future ya familia zenu!
Binafsi nimekuwa nikinufaika na michango yenu katika huu uzi kimyakimya na wengi wenu hapa mmekua mkinihitaji kwajili ya huduma ya miche ya mitiki na wote tumemalizana kimyakimya tena kwa uaminifu uliotukuka!
Nawapa hongera sana nyote mlio thubutu kufanya uamzi wa kuwekeza kwenye upandaji miti-ni uamzi nyeti kwa watu makini na hakika hamtajuta, mbele yenu ni ya neema tele make miti haidanganyi ikishafikia umri wa mavuno basi hesabu pesa pesa pesa!!
Ushuhuda wa hili ninao mwenyewe. Nimezaliwa na kukulia kwa wapanda miti na nimeshuhudia unufaikaji wa mradi huu kwa miaka na miaka ningali mdogo.
Nawasihi msikate tamaa na muendeleze mapambano.
Kwa yeyote atakae hitaji miche ya miti hii asisite kunitafta; Mninga, mkomba/mkola/mkongo, mitiki, syprus carribeae, misila n.k tafadhari weka order nikuhudumie.
Napatikana JF muda wote ukinihitaji.
Karibuni sana...