Jahitaji miche 4000 asapSalama mkuu!
Moro naishi Turiani karibu kabisa na mtibwa teak forest.
Mbegu zipo zakutosha kulingana na shehena ya uhitaji wako.
Bei yangu inavary kulingana na wingi wa miche(stamps) utakazo.
Mathalani kama order yako itafikia miche 3200(ambayo unaweza panda ekari5) ntakuuzia kwa sh250 kila mche na kutakuwa na offer ya miche 300 bure!
Ikiwa order yako ni zaidi ya miche 16000 bei itapungua hadi 200@mche na kutakuwa na nyongeza ya miche 1000.
Utaratibu ni unalipia 50% ya mzigo na 50% nyingine utamalizia on delivery day.
Kama utahitaji huduma ya kupandiwa kitaalam, mimi na team yangu tupo tayari kukuhudumia popote lilipo shamba.
Karibu sana mkuu!
Jahitaji miche 4000 asap
Jahitaji miche 4000 asap
Chungulia pm yako mkuu nimekupa maelezo yakutosha.Shukran
Ni-PM namba yako, unayotumia whatsap ni nzuri zaidiSalama mkuu!
Moro naishi Turiani karibu kabisa na mtibwa teak forest.
Mbegu zipo zakutosha kulingana na shehena ya uhitaji wako.
Bei yangu inavary kulingana na wingi wa miche(stamps) utakazo.
Mathalani kama order yako itafikia miche 3200(ambayo unaweza panda ekari5) ntakuuzia kwa sh250 kila mche na kutakuwa na offer ya miche 300 bure!
Ikiwa order yako ni zaidi ya miche 16000 bei itapungua hadi 200@mche na kutakuwa na nyongeza ya miche 1000.
Utaratibu ni unalipia 50% ya mzigo na 50% nyingine utamalizia on delivery day.
Kama utahitaji huduma ya kupandiwa kitaalam, mimi na team yangu tupo tayari kukuhudumia popote lilipo shamba.
Karibu sana mkuu!
Samahani mkuu huwa situmii whatsap. Mambo yote namaliza hapa hapa JF tena kwa uaminifu uliotukuka.Ni-PM namba yako, unayotumia whatsap ni nzuri zaidi
Yes ni-PM namba yakoSamahani mkuu huwa situmii whatsap. Mambo yote namaliza hapa hapa JF tena kwa uaminifu uliotukuka.
Vinginevyo kama utahitaji mawasiliano yangu tuongee sitasita kukutumia.
Karibu sana mkuu!
Kama nimiaka kumi bora lakini miaka hamsini?kwaheri
Kama utapanda mitiki ujue unawekeza kwa wanao sio mbaya sababu ni 30 years. Kama unataka kwasasahivi panda michungwa.
Sisi watanzania bado sana sana.Usikate tamaa haraka hivyo! Mitiki huanza kuvunwa kutokana na matumizi kuanzia miaka 5, 10, 15 hadi 20. Kwahiyo wewe jifanye mjinga leo panda halafu jifanye kama umesahau hivi kisha utakujaniambia siku moja. Tatizo letu Watanzania tunapenda pesa ya harakaharaka na subira hatuna. Hivi kama kipato cha mtu kwa mwaka ni milioni 10 ina maana kwa miaka 10 atakuwa ametengeneza jumla ya milioni 100 ambazo hana mfukoni. Sasa kwa kupanda mitiki 1000 kwa mfano halafu baada ya miaka 10 ukauza kila mti Tsh 60,000/= utakuwa umetengeneza kiasi gani? Amka ndugu yangu.
Sisi watanzania bado sana sana.
Utakuta mtu hana wasiwasi kabisa ameridhika na maisha ati kisa ana fixed acount kaweka milioni 10.
Alafu anasema amejiandaa kwa future life ya familia yake.
Future sio pesa ambazo zipo benki ni jinsi gani umewekeza kwa kutumia hizo pesa.
Natoa mchanganuo kidogo wa hizo m10 endapo ukiwekeza.
2 milioni naweka benki (dharula)
3 milioni nanunua shamba ambapo tuseme utapata heka 10.
1 milioni unatayalisha shamba.
2 milioni unapanda mitiki ambapo unaweza panda mitiki 10000 .
2 milioni itahudumia shamba miaka 3
Je ndani ya miaka mitatu utakuwa wapi utakuwa ktk levo nyingine ya maisha.
Shambani kwangu nina mitiki 10000.na mwezi wa 11 nimenunua stumps za mitiki kwa mwana JF humu ndani MR KISIMA. Nihitaji 5000stumps japo nimepata 3000.
In three years to come huwezi nifananisha na yule aliyeweka pesa benki.
Hata kama miti ikifa bado ardhi ipo na thamani imepanda.
Japo kuwa palikuwa na changamoto za hapa na pale .
Tusiogope kuwekeza.[ATTAView attachment 453707CH=full]453705[/ATTACH]
Sisi watanzania bado sana sana.
Utakuta mtu hana wasiwasi kabisa ameridhika na maisha ati kisa ana fixed acount kaweka milioni 10.
Alafu anasema amejiandaa kwa future life ya familia yake.
Future sio pesa ambazo zipo benki ni jinsi gani umewekeza kwa kutumia hizo pesa.
Natoa mchanganuo kidogo wa hizo m10 endapo ukiwekeza.
2 milioni naweka benki (dharula)
3 milioni nanunua shamba ambapo tuseme utapata heka 10.
1 milioni unatayalisha shamba.
2 milioni unapanda mitiki ambapo unaweza panda mitiki 10000 .
2 milioni itahudumia shamba miaka 3
Je ndani ya miaka mitatu utakuwa wapi utakuwa ktk levo nyingine ya maisha.
Shambani kwangu nina mitiki 10000.na mwezi wa 11 nimenunua stumps za mitiki kwa mwana JF humu ndani MR KISIMA. Nihitaji 5000stumps japo nimepata 3000.
In three years to come huwezi nifananisha na yule aliyeweka pesa benki.
Hata kama miti ikifa bado ardhi ipo na thamani imepanda.
Japo kuwa palikuwa na changamoto za hapa na pale .
Tusiogope kuwekeza.[ATTAView attachment 453707CH=full]453705[/ATTACH]