Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

Sasa na wewe ulipoweka miche 10,000/= mimi nikabaki nashangaa zimekuwa fedha? Maana hiyo alama inatumika kuonesha fedha.

Kwa Shinyanga mdogo wangu mbona itakuwa taabu kidogo! Maana kilimo hicho kinahitaji maji mengi sijui kama uko kwenye source isiyokauka maana SHY ilivyo maji ni mbinde ukijidai kutumia ya SHUWASA/KASHIWASA itakula kwako vinginevyo labda kama unfanikiwa kuwachakachua!! Kwani shamba lako liko wapi Mkuu hapo SHY?

Kwa habari ya soko mbona SHY kwenyewe soko lipo? Maana tunauziwa tikiti 1 kuanzia Shilingi 1,000/= hadi 1,500/=
 
Si kweli Mkuu maneno yako hapa chini kuhusu MAJI.

Ni jina tu tikiti maji ila ukweli ni kuwa HAYAHITAJI maji mengi na udongo wake uwe wa Kichanga kigogo kama Member pale juu alivyodokeza. Hapa Sikonge, yanastawi sana na Marehemu baba alikuwa akiyalima kwa wingi na kuyauza Sikonge Madukani na Misheni na huko zaidi ni Wagonjwa au watu wanaowaguza (kwenye hospital ya Moravian) ndiyo walikuwa wateja wakubwa.

Ukija Dodoma, nafikiri ndiyo mkoa unaoongoza kwa kuzalisha matikiti mengi. Yanaota na kustawi kama hayana akili nzuri hivi. Sasa Mvua na Dodoma ni wapi na wapi? Ndiyo maana hata Shinyanga inawezekana kweli yakaota na kuzaa kwa wingi maana ni nusu jangwa. Tatizo kubwa la MAJI mengi ni kuwa yakilala kwenye MAJI pamoja na kuwa bado yako hai (yameungana na shina) bado yanaweza KUOZA haraka.

Wajapan wameshafanya UTUNDU wao na kuja na Tikiti Maji Pande Sita kama ilivyo chini.

square-watermelon.jpg
watermelon_3.jpg
Kwa Shinyanga mdogo wangu mbona itakuwa taabu kidogo! Maana kilimo hicho kinahitaji maji mengi sijui kama uko kwenye source isiyokauka maana SHY ilivyo maji ni mbinde ukijidai kutumia ya SHUWASA/KASHIWASA itakula kwako vinginevyo labda kama unfanikiwa kuwachakachua!! Kwani shamba lako liko wapi Mkuu hapo SHY?

Kwa habari ya soko mbona SHY kwenyewe soko lipo? Maana tunauziwa tikiti 1 kuanzia Shilingi 1,000/= hadi 1,500/=
 
Dear Sir,

Soil: Watermelons can be grown on well-drained sandy to sandy loam, medium black soils rich in organic matter. Alluvial soil along the river beds is also good for production of watermelons. A pH range of 6.0-7.0 is considered as optimum.

Climate:
Watermelon is a warm season crop grown mainly in sub-tropical and hot-arid regions. The crop requires dry weather with abundant sunshine for quality fruit production. Watermelons are susceptible to light frost and are provided with partial protection if grown during winter months. Temperature range of 24-27° C is considered as optimum for the growth of the vines. Cool nights and warm days are ideal for accumulation of sugars in the fruits. The seed germinates best when temperatures are higher than
20° C. High humidity at the time of vegetative growth renders the crop susceptible to various fungal diseases.


Irrigation:
Usually pits, ridges or beds are irrigated a day or two prior to planting of seeds and the next irrigation, preferably light, is given 4 or 5 days after planting of seeds. Subsequently the irrigation is given at weekly intervals.In spring-summer crop, frequency of irrigation is very important as water stress during fruit development leads to fruit cracking. Mulching of the hills after sowing reduces moisture loss at the time of emergence and prevents crust formation. It is necessary to keep the moisture well maintained at the root zone, to promote rapid taproot development. Application of water should be restricted to the base of the plant or root zone to avoid wetting of the vines or vegetative parts, especially when flowering, fruitset and fruit development are in progress. Frequent wetting of stems, leaves and developing fruits will promote diseases and rotting of fruits. Frequency of irrigation is reduced when the fruits reach near maturity while it is completely stopped at harvesting stage.

Manuring:
The fertilizer doses to be applied depend on variety, fertility of soil, climate and season of planting. Generally well decomposed FYM (15-20 t/ha) is mixed with the soil during ploughing. The recommended dose of fertilizer to be applied per hectare is 100 kg N, 50 kg P2 O5 and 50 kg K2 O. Half the N and entire P & K should be applied before planting. The balance N is given 30-35 days after planting. The fertilizer is applied in a ring at 6-7 cm from the base of the stem. It is better to complete all the fertilizer applications just before the fruit set.
For increasing the percentage of female flowers, NAA (100 ppm) is sprayed once at two-leaf stage and the same is repeated after 6-7 days.Gap Filling and Thinning
Under ideal conditions, the seeds germinate within 8-10 days after sowing. One to two healthy seedlings are retained at each spot while the rest are removed or used for gap filling.

Weed Control: Depending upon the season about 2-3 weeding operations is required. The first weeding should be done 20-25 days after sowing while subsequent weeding are done at an interval of one month. When the vines start spreading, weeding in between the rows, or ridges, becomes unnecessary since vine growth can smother the weeds.

Pinching: n watermelon, apical shoots are pinched when the vines are 1m while allowing the side shoots to grow. This practice gives significantly higher fruit yield. At the initial stages of fruit setting, malformed, diseased and damaged fruits are removed and only 2-3 fruits per vine are retained. This results in increased fruit size and yield.

Intercropping: Watermelons can be profitably grown in the interspaces of newly planted orchards during the initial years provided there are sufficient irrigation facilities.

Best varieties


Asahi Yamato
IARI, New Delhi
Mid-season variety, medium sized fruits with average fruit weight 6-8 kg. The rind colour is light green with deep pink-flesh; TSS 11 to 13%. The fruits ripen in 95 days.

Sugar Baby
IARI, New Delhi.
The fruit slightly small in size, round in shape having bluish black rind and deep pink flesh with small seeds. TSS 11-13%; average weight 3-5 kg. The fruits ripen in 85 days.

Arka Jyoti
IIHR, Bangalore
Cross between IIHR-20 & Crimson Sweet; mid-season variety; fruits round, rind colour is light green with dark green stripes and flesh crimson colour, TSS 11-13%. Average fruit weight 6-8kg.

Arka Manik
IIHR, Bangalore
The fruits are round to oval with green rind and dull green stripes. The flesh is deep red, very sweet taste with TSS 12-13%. Average fruit weight is 6 kg. It stands well in transport and storage. Resistant to powdery mildew and tolerant to anthracnose disease.

Improved Shipper
PAU, Ludhiana
Fruits large in size with dark green rind, average fruit weight 8-9 kg/ha, moderately sweet with TSS 8-9%.

Special No.1
PAU, Ludhiana
Early maturing variety, Fruits are round and small with red flesh and seeds, average TSS is slightly lower than Shipper variety.

Durgapura Meetha
ARS, Durgapura, Rajasthan
A late maturing variety, fruits are round rind is thick and light green in colour, flesh sweet and dark red in colour, good keeping quality, TSS 11%, average fruit weight 6-8 kg, seed with black tip and margin. The fruit ripens in 125 days.

Durgapura Kesar
ARS, Durgapura, Rajasthan
A late maturing variety. Rind is green in colour with stripes; flesh yellow in colour and moderately sweet, seeds are large. Average fruit weight 4-5 kg.

From: Watermelon - AgricultureInformation.com
 
dear sir

soil:watermelons can be grown on well-drained sandy to sandy loam, medium black soils rich in organic matter. Alluvial soil along the river beds is also good for production of watermelons. a ph range of 6.0-7.0 is considered as optimum.

climate:watermelon is a warm season crop grown mainly in sub-tropical and hot-arid regions. the crop requires dry weather with abundant sunshine for quality fruit production. Watermelons are susceptible to light frost and are provided with partial protection if grown during winter months. Temperature range of 24-27° c is considered as optimum for the growth of the vines. cool nights and warm days are ideal for accumulation of sugars in the fruits. the seed germinates best when temperatures are higher than
20° c. High humidity at the time of vegetative growth renders the crop susceptible to various fungal diseases.




irrigation
usually pits, ridges or beds are irrigated a day or two prior to planting of seeds and the next irrigation, preferably light, is given 4 or 5 days after planting of seeds. Subsequently the irrigation is given at weekly intervals.in spring-summer crop, frequency of irrigation is very important as water stress during fruit development leads to fruit cracking. Mulching of the hills after sowing reduces moisture loss at the time of emergence and prevents crust formation. It is necessary to keep the moisture well maintained at the root zone, to promote rapid taproot development. Application of water should be restricted to the base of the plant or root zone to avoid wetting of the vines or vegetative parts, especially when flowering, fruit
set and fruit development are in progress. Frequent wetting of stems, leaves and developing fruits will promote diseases and rotting of fruits. Frequency of irrigation is reduced when the fruits reach near maturity while it is completely stopped at harvesting stage.

Manuring
the fertilizer doses to be applied depend on variety, fertility of soil, climate and season of planting. Generally well decomposed fym (15-20 t/ha) is mixed with the soil during ploughing. The recommended dose of fertilizer to be applied per hectare is 100 kg n, 50 kg p2 o5 and 50 kg k2 o. Half the n and entire p & k should be applied before planting. The balance n is given 30-35 days after planting. The fertilizer is applied in a ring at 6-7 cm from the base of the stem. It is better to complete all the fertilizer applications just before the fruit set.
For increasing the percentage of female flowers, naa (100 ppm) is sprayed once at two-leaf stage and the same is repeated after 6-7 days.gap filling and thinning
under ideal conditions, the seeds germinate within 8-10 days after sowing. One to two healthy seedlings are retained at each spot while the rest are removed or used for gap filling.

Weed control
depending upon the season about 2-3 weeding operations is required. The first weeding should be done 20-25 days after sowing while subsequent weeding are done at an interval of one month. When the vines start spreading, weeding in between the rows, or ridges, becomes unnecessary since vine growth can smother the weeds.

Pinching
n watermelon, apical shoots are pinched when the vines are 1m while allowing the side shoots to grow. This practice gives significantly higher fruit yield. At the initial stages of fruit setting, malformed, diseased and damaged fruits are removed and only 2-3 fruits per vine are retained. This results in increased fruit size and yield.

Intercropping
watermelons can be profitably grown in the interspaces of newly planted orchards during the initial years provided there are sufficient irrigation facilities.

Best varieties
asahi yamato
iari, new delhi
mid-season variety, medium sized fruits with average fruit weight 6-8 kg. The rind colour is light green with deep pink-flesh; tss 11 to 13%. The fruits ripen in 95 days.

Sugar baby
iari, new delhi.
The fruit slightly small in size, round in shape having bluish black rind and deep pink flesh with small seeds. Tss 11-13%; average weight 3-5 kg. The fruits ripen in 85 days.

Arka jyoti
iihr, bangalore
cross between iihr-20 & crimson sweet; mid-season variety; fruits round, rind colour is light green with dark green stripes and flesh crimson colour, tss 11-13%. Average fruit weight 6-8kg.

Arka manik
iihr, bangalore
the fruits are round to oval with green rind and dull green stripes. The flesh is deep red, very sweet taste with tss 12-13%. Average fruit weight is 6 kg. It stands well in transport and storage. Resistant to powdery mildew and tolerant to anthracnose disease.

Improved shipper
pau, ludhiana
fruits large in size with dark green rind, average fruit weight 8-9 kg/ha, moderately sweet with tss 8-9%.

Special no.1
pau, ludhiana
early maturing variety, fruits are round and small with red flesh and seeds, average tss is slightly lower than shipper variety.

Durgapura meetha
ars, durgapura, rajasthan
a late maturing variety, fruits are round rind is thick and light green in colour, flesh sweet and dark red in colour, good keeping quality, tss 11%, average fruit weight 6-8 kg, seed with black tip and margin. The fruit ripens in 125 days.

Durgapura kesar
ars, durgapura, rajasthan
a late maturing variety. Rind is green in colour with stripes; flesh yellow in colour and moderately sweet, seeds are large. Average fruit weight 4-5 kg.

From: watermelon - agricultureinformation.com


Wewe umeikopi wapi hii ilete kwa Kiswahili basi au itranslate.
 
Mimi nalima aina ya Sugar baby inachukua siku 60 tu kuvuna tangu plus siku 3-5 za kukaa ardhini, kwa hiyo kwa mwaka nalima mara 4 tu nina ekari 5 na kila eka napata kuanzia 2M-3M.

Spacing ni 2mx2m na kila shimo naweka mbegu 2 ambazo zinazaa matunda 2-3 kwa maana kila shimo napata matunda 4-6 ( wastani matunda 5).

Hivyo kwa spacing hiyo napata mashimo 1000-1200

Idadi ya matunda: Mashimo x Matunda kwa shimo x ekari [1,000 x 5 x 5 = 25,000]

Mapato: wastani wa shilingi 500 kwa tikiti x idadi ya matikiti kwa eneo la ekari 5 [25,000 x 500 = 12,500,000]

Mapato kwa mwaka: 12,500,000 x 4= 50,000,000

Gharama za uendeshaji wa shamba ni Tsh 25,000,000

Faida Kuu ni Tshs 25,000,000 M.

Tujenge taifa letu kwa kilimo
 
Thanks Edmund for this useful information.

Pengine labda utusaidie hatua moja mbele watu kama mm wenye interest ya kilimo. Labda ni wapi unakolima ambako sugar baby inalimwa mara nne kwa mwaka?

Na je maeneo gani mengine ambako kuna sifa kama za huko unakolima? Looks like unahitaji irrigation system ili iweze kulima mara 4 kwa mwaka, je unaweza kutupa some more details kwenye hili pia kwa kesi ya gharama na mambo kama hayo?

Natanguliza shukrani za dhati.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu umemaliza yote. Sina cha kuongeza.

Hiki ndicho kilimo cha matikiti maji..Tofauti ndogo ni mimi huwa naanza kuvuna siku ya 54.

Tulijenge taifa kwa Kilimo!

Babu tunashukuru kwamba kumbe wewe pia unalima matikiti maji. Sorry unaweza kujibu maswali niliyomuuliza Edmund kwenye post yangu hapo juu?

I'm sure usingependa kazi nzuri uliyoianza ifike kikomo pale utakaporudi kwa Mola, ungependa wajukuu zako tuiendeleze so tupe maujuzi pliz.
 
Babu tunashukuru kwamba kumbe wewe pia unalima matikiti maji. Sorry unaweza kujibu maswali niliyomuuliza Edmund kwenye post yangu hapo juu? I'm sure usingependa kazi nzuri uliyoianza ifike kikomo pale utakaporudi kwa Mola, ungependa wajukuu zako tuiendeleze so tupe maujuzi pliz.

Mjukuu mwema:

Chakula kikuu cha matikiti maji ni MAJI MENGI. Shina moja laweza chukua lita kumi za maji. Namwagilia asubuhi na jioni. Kifupi kilimo cha matikiti si cha kutegemea mvua bali umwagiliaji.

Mvua ni hatari kwa matikiti kwa kuwa huaribu maua yanayozaa matikiti. Mbolea (mi natumia ya kuku) ni muhimu pia.

Sijui unaishi wapi, ila mi nimeyalimia sana maeneo ya Boko kwa kutegemea maji ya Dawasco.
 
Mjukuu mwema:

Chakula kikuu cha matikiti maji ni MAJI MENGI. Shina moja laweza chukua lita kumi za maji...Namwagilia asubuhi na jioni....Kifupi kilimo cha matikiti si cha kutegemea mvua bali umwagiliaji....Mvua ni hatari kwa matikiti kwa kuwa huaribu maua yanayozaa matikiti. Mbolea (mi natumia ya kuku) ni muhimu pia.

Sijui unaishi wapi, ila mi nimeyalimia sana maeneo ya Boko kwa kutegemea maji ya Dawasco.

Babu nikushukuru sana kwa majibu ya haraka na maridhawa kabisa. Umesema maneno machache ambayo yamesheheni kuliko gazeti la mwananchi.

Kama nimekuelewa vizuri, kwa kuwa matikiti hayatenganishwi na maji as long una source ya kueleweka ya maji na udongo unakubali matikiti then popote pale ulipo waweza kulima throughout the year. Mimi pia ni beneficiary wa Dawasco kama wewe Babu which means ninaweza kuifanya hiyo kazi.

Muhimu tu ni kuwaombea hao Dawasco ili wasifirisike kama serikali mama na wakashnidwa kutusupply maji. Babu thanks a lot.
 
Babu nikushukuru sana kwa majibu ya haraka na maridhawa kabisa. Umesema maneno machache ambayo yamesheheni kuliko gazeti la mwananchi. Kama nimekuelewa vizuri, kwa kuwa matikiti hayatenganishwi na maji as long una source ya kueleweka ya maji na udongo unakubali matikiti then popote pale ulipo waweza kulima throughout the year. Mimi pia ni beneficiary wa Dawasco kama wewe Babu which means ninaweza kuifanya hiyo kazi. Muhimu tu ni kuwaombea hao Dawasco ili wasifirisike kama serikali mama na wakashnidwa kutusupply maji. Babu thanks a lot.

You are welcome. Yes..Dawasco wakifilisika na tikiti likiwa na siku 20, hapo hesabu hasara!
 
Edmund asante kwa upembuzi yakinifu,sasa inakuwaje/ tunakuwaje TZ ni ombaomba kitaifa, sipati jibu.

unapanda mara 4 kwa mwaka? Miezi ipi ni mizuri kupanda mbegu?

Nitazingatia na nitayafanyia kazi ushauri wako.
 
Last edited by a moderator:
chonde chonde kaka,usizilete hizo mbegu,it may cause GM contamination,wasiliana na wataalam wa kilimo watatoa ushauri mzuri.ila bora uziache huko huko,hizi za kwetu ni poa sana tu.
wajapan wametengeneza watermelon la square kama box ili iwe rahisi kusafirisha matunda hayo,Mh! madhara yatajulikana baadae,ktk cancer na magonjwa mengineyo.

Ebwana, yale matikiti kuwa ya square au pyramidal siyo kwamba wanatumia dawa. Huwa tunda linawekwa ndani ya glass kubwa iliyotengenezwa kwa umbo ambalo wanataka tunda liwe - wanaweka tunda likiwa bado dogo, linaendelea kupata mwanga wa jua kama kawaida. Hiyo ni Sayansi na Teknolojia mkuu!
 
Wadau nataka kuanza kilimo kikubwa cha matikiti, ninaanza na eka 100 morogoro,ni kilimo cha umwagiliaji.

Naomba wadau mnipe ushauri juu ya faida, soko na changamoto za kilimo hiki sina uzoefu wa kutosha.na pia ghrama zake za uzalishaji kwa eka.

Na pia nataka kulima heka 200 za sweetsourghum (mtama) amabao unanunuliwa makampuni ya bia kama TBL pia naomba ushauri juu ya hili, has faida na bei kwa kila soko na mavuno kwa kila heka.

Ahsanteni!!
 
Ebwana sisi walioko mbali na Tanzania inakula kwetu haisee m2 huko BK inakuaje hapa matikiti kweli ni good business
 
wakubwa mimi nina swali moja, jee mbegu kutoka north america zinaweza kumea vizuri hapa nyumbani?

Dont dare borther utaleta very big problem kwasababu pesticides wanazo tumia ambazo zinaweza leta problem kwetu so kabla ya kufanya hivyo unapaswa ukutane na watalaamu wa sanitary na phytosanitary wakupe ushauri nafikiri wizara ya kilimo ama tbs watakuwa wazuri katika hilo.

Kwa mujibu wa kumbuku miaka ama ya mwanzo mwa 90 au mwishoni mwa 80 tuliwahi kuingia mkenge kwa kuokea msaada and then likatokea dubwasha lililo tusumbua sana nahisi lilikuwa linaitwa gugu so we have to be care and sincere before hatujafanya maamuzi.
 
ebwana sisi walioko mbali na tanzania inakula kwetu haisee m2 huko bk inakuaje hapa matikiti kweli ni good business

Opportunity is every where is just a matter of oppening ur eyes, kiongozi usikate tamaa sisi tuliopo pwani tunanufaika na soko kuwa karibu so this is our competitive advantage ukilinganisha na wewe ila kuna maeneo wewe ni mzuri zaidi kuliko sisi and this we call comparative advantage na ndizo hizo unatakiwa kuzijua na kuwekeza katika maeneo hayo.

Mathalani hali ya hewa ya pwani una support kilimo cha mboga mboga na matunda ambayo ni perishable sasa kuna mazao mengine kama vannila hayakubali kabisa huku pwani ila maeno kama Bukoba na manyovu kigoma ndio mahara pake na bei yake the last 2 yrs ilikuwa 1o,ooo/= kwa kilo sasa pamoja na kuporomoka kwa thamani ya sarafu yetu nadhani sasa inawezekana ikawa may be 15,ooo/= kwa kilo sasa pamoja na maeneo mengine mengi hili ni moja ya eneo ambalo wewe hatuwezi kupambana nawe kwa sababu wewe ni mzuri zaidi and we cant do any thing to beat you, take your advantage and explore the opportunity!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom