Kilimo cha Maharage: Mbinu za kulima, Ushauri na Masoko yake

Naona umeanzisha uzi mpya wa maharage baada ya ule wa kwanza (jana)kudoda, sasa jitahidiuwe na majibu mazuri maana ule uzi wa kwanza "umeunyea" sana but hongera kwa kazi nzuri ila usitangaze biashara kwa debe,tangaza kwa package ya 100kgs au kwa kg mkuu!;
 
Naona umeanzisha uzi mpya wa maharage baada ya ule wa kwanza (jana)kudoda,sasa jitahidiuwe na majibu mazuri maana ule uzi wa kwanza "umeunyea" sana!!!but hongera kwa kazi nzuri ila usitangaze biashara kwa debe,tangaza kwa package ya 100kgs au kwa kg mkuu!;
Sawa mkuu
 
Kwa uzoefu wangu Rudewa sio Mbeya jiji ni wilaya ya Mbarali, kuwa makin

Kuhusu soko la maharage ngoja wadau wengine waje.
 
Habari za mchana ndugu zangu, naomba mwenye uzoefu wa kilimo cha maharagwe anielekeze njia na hatua za kilimo hicho ili kuweza kupata mavuno mengi maana nahitaji kulima Aina hiyo ya kilimo, ushauri wenu muhimu sana

Asanteni
 
Maharagwe= Maharage
Turudi kwenye mada husika, unataka kulima small au large scale?
 
Jaman naiomben mrejesho kwa wale mlo amua kuingia katika kilimohik cha maharagwe mwaka jana ili nasie tuhamasike zaid na kilimo hik kma mlivyo hamasika ninyi


Karibun kwa mrejesho
 
hello wana jf me mtanzania mwenzen ktkea arusha monduli but nko botswana kwa sasa mwaka wa kwanz nkiwa universty of gaborone.ninatak nkija likzo ya dcembr nijikite kwa kilim cha maharag heka mbl je ntafte pula kiasi gan?mbegu ya heka na je nkisimamia kwa ucare ntaeza vuna kias gan per heka?na changamton pia watinzanian wenzang!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom