Kilimo cha Maharage: Mbinu za kulima, Ushauri na Masoko yake

maombi yenu jamani mvua zimekata hali si nzuri sana!
 

Attachments

  • 20230123_130023.jpg
    20230123_130023.jpg
    988.5 KB · Views: 105
Binafsi nimeambulia debe 3 heka moja
Huwa nawashangaa sana mnao commit hela Mikoa ya Kati,Kanda ya Ziwa kutoa Kagera na Kaskazini kwenye Kilimo Cha kutegemea mvua wakati uhakika wa kupata ni 50%

Kilimo fanya Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini,Magharibi kutoa Tabora na Kusini huko uhakika wa mvua ni 100% sana sana itazidi.
 
Wakuu salaam,
Natumaini mapambano yanaendelea.
Ninaomba kuelimishwa mambo yafuatayo katika kilimo cha maharage msimu huu.

1.Jinsi ya kupanda kwenye matuta au Sesa
2.Busta nzuri inayofanya vizuri kwenye maharage,hapa naomba mwenye kujua zaidi kuhusu hizi busta ambazo zinafanya vizuri maana hapa ndo kila kitu.
3.Sumu inayofanya vizuri kabla ya maharage kuweka maua
4.Sumu ambayo itafaa baada ya maharage kuweka maua ambayo haitakuwa na harufu kali kufukukuza nyuki.
5.Dawa ya ukungu inayofaa katika maharage
6.Dawa nzuri ya kuzuia magugu kabla ya kupanda.
Asanteni kwa mchanganuo mtakao nipa.
Nalimia wilaya ya Tanganyika Katavi.

Sent from my SM-A045F using JamiiForums mobile app
 
HABARI wakuu

SHAMBA+ ni mtandao unaotumia App, Whatsapp channel na SMS utakaokutanisha wadau wote wa kilimo ie Wakulima, Bwana shamba, wauzaji pembejeo na mbegu na madawa, na masoko ya bidhaa za kilimo. Kazi/dhumuni la huu mtandao ni : (i) Ushauri wa kilimo kutoka kwa agronomist - NI BURE kama unatumia WHATSAPP au APP, kama ni SMS utalipia (ii) Maswali na majibu kati ya mkulima, Agronomist, wauzaji pembejeo - NI BURE kama unatumia WHATSAPP au APP, kama ni SMS utalipia (iii) Agronomist kuweza kuona maduka ya pembejeo/mbegu, wakulima mbalimbali na Agronomists wenzao wa mikoa mbalimbali na kuweza kuwasiliana na kujitangaza - NI BURE ila ni kwa kutumia APP NA WHATSAPP tu (iv) Kuona masoko na kuwasiliana na wanunuzi wa mazao - NI BURE ila ni kwa kutumia APP NA WHATSAPP tu
Hiyo app inaitwaje mkuu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom