Kilimo cha Maharage: Mbinu za kulima, Ushauri na Masoko yake

Kazi unayo.
Hivi inakuwaje unatafuta mbegu halafu hata jina la mbegu hujui.
Kilimo si cha kunbahatisha, utalia
 
Weka picha yake ili tuanze kuyatafuta. Naweka aina nilizo nazo ili mtujuze ni ipi kati ya hizo:
View attachment 393888View attachment 393889
images
images
images
images
Wajuzi watufahamishe ni mbegu gani yenye soko hapo
 
Wakuu habari zenu nahitaji kulima maharage mwaka huu 2018, naomba ushauri wa Muda gani mzuri wa kulima na maeneo yake sambamba na ufafanuzi mwingine wa bajeti na gharama za utunzaji.

Asanteni na karibuni kwa mchango wenu.

NB: NIMEJARIBU KUPITIA THREADS NYINGINE ZA 2015 NA 2016 LAKINI HII NI 2018 MAMBO HUBADILIKA.

NIPO ONLINE KUSUBIRI MSAADA. THIS IS MORE THAN SERIOUS

Mimi ni mkazi wa Dsm
 
Naomba kujua mbegu bora ya haya maharage ya njano inapatikabaje?? Na inaingia kiasi gani kwenye ekari moja??
 
Kuna kitu kimoja najaribu kujiuliza nimejaribu kuongea na na watu wa uko sumbawanga na songea wanao lima haya maharage ya njano.. Wao wanasema heka moja hutoa kati ya 5-8gunia, lakini nikachunguza wao wanalimaje nikagundua wao hawafanyi majaruba, kama Kisima avyo twambia yeye hufanya, pia nikawa interested kujua mpangilio wa shina hadi shina kwa huyu mtoa mada sema hajarudi tena angetueleza angalo tujue katika Jaruba moja yeye anakuwe anaashina mangap kwa muacho gani na je mstari hadi mstari anacha upana gan?? Tafadhali sana kisima naoma utueleweshe maana nilikuwa nataka nioteshe na hii mvua ila nakosa maelezo yakutosha
 
Kilimi cha maharage ni rahisi na kinalipa sana kikifanyika kwa bustani gharama nafuu na competion ya soko ni almost zero.

Huhitaji kusafiri, kinachofanyika ni kuwaita wateja waje shamba watuniashane misuli mbele yako bila dalali kisha ww ndo una decide whom to trade with!

ntarudi hapa na abc za kilimo cha zao hili mkombozi!

Naomba namba yako kiongozi
 
Mkuu kisima nataka jitupia tena ( awamu ya kwanza haija nilipa ki hvyo) kwenye maharage . ameti vip..kwa miez hii bado ni mizur kulima tena maharage.. Au nisubir mwakan!!


Naomba nikutembelee kama unalimia Morogoro boss
 
Habari ndugu..kama mlivoona hapo mi napatkana Dar nimefanya kilimo cha maharage wilaya ya Rudewa jijini mbeya nahitaji mnisaidie kupata soko na kama itawezekana niwe mzabuni napenda kufanya biashara na shule binafsi na kiukweli ndo nmeanza hii biashara na ntauza 45000 per debe..naombeni support na my # 0655822872
 
Habari ndugu..kama mlivoona hapo mi napatkana Dar nimefanya kilimo cha maharage wilaya ya Rudewa jijini mbeya nahitaji mnisaidie kupata soko na kama itawezekana niwe mzabuni napenda kufanya biashara na shule binafsi na kiukweli ndo nmeanza hii biashara na ntauza 45000 per debe..naombeni support na my # 0655822872
Aina gan mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom