ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,579
- 44,822
Nimeona jinsi wakulima wakizungumzia mwenendo mbaya wa mazao yao Shambani mfano wa kulima wa Kanda ya Kati wengi walichelewa kumpanda hivyo jua la mwezi wa tatu limezingua kufanya mimea isinawiri huko kusini mvua zinapiga nyingi TOKa mwaka Jana na Wao athari ni kuharibika Kwa mazao mfano ufuta imewabidi wapande Mara mbili.
Mimi binafsi naona ni heri kujichanganya mwakani nikajipanga nikajitafuta niwe na kama laki Sita nikodishe Shamba heka hata nne nipande karanga au Maharage na sio mazao marefu marefu kama mahindi au ufuta yanayohitaji palizi, Madawa, usimamizi, booster, mbolea n. K.
Karanga hata usipouza sokoni Kwa bei ya jumla bado una uwezo wakuwauzia wajasiriamali wadogo mtaani na ukapiga Hela same to Maharage au kunde yaani hukosi Baraka baraka za ardhi.
Kwa kifupi ni hapa ni mwendo wa kulima mazao mafupi mafupi tu ya kuyamudu mfano mwingine ni mamboga mboga ya bustani ya kumwagilia.
Mimi binafsi naona ni heri kujichanganya mwakani nikajipanga nikajitafuta niwe na kama laki Sita nikodishe Shamba heka hata nne nipande karanga au Maharage na sio mazao marefu marefu kama mahindi au ufuta yanayohitaji palizi, Madawa, usimamizi, booster, mbolea n. K.
Karanga hata usipouza sokoni Kwa bei ya jumla bado una uwezo wakuwauzia wajasiriamali wadogo mtaani na ukapiga Hela same to Maharage au kunde yaani hukosi Baraka baraka za ardhi.
Kwa kifupi ni hapa ni mwendo wa kulima mazao mafupi mafupi tu ya kuyamudu mfano mwingine ni mamboga mboga ya bustani ya kumwagilia.