Ukija kuamua kuanza kulima utalima zao gani?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,579
44,822
Nimeona jinsi wakulima wakizungumzia mwenendo mbaya wa mazao yao Shambani mfano wa kulima wa Kanda ya Kati wengi walichelewa kumpanda hivyo jua la mwezi wa tatu limezingua kufanya mimea isinawiri huko kusini mvua zinapiga nyingi TOKa mwaka Jana na Wao athari ni kuharibika Kwa mazao mfano ufuta imewabidi wapande Mara mbili.

Mimi binafsi naona ni heri kujichanganya mwakani nikajipanga nikajitafuta niwe na kama laki Sita nikodishe Shamba heka hata nne nipande karanga au Maharage na sio mazao marefu marefu kama mahindi au ufuta yanayohitaji palizi, Madawa, usimamizi, booster, mbolea n. K.

Karanga hata usipouza sokoni Kwa bei ya jumla bado una uwezo wakuwauzia wajasiriamali wadogo mtaani na ukapiga Hela same to Maharage au kunde yaani hukosi Baraka baraka za ardhi.

Kwa kifupi ni hapa ni mwendo wa kulima mazao mafupi mafupi tu ya kuyamudu mfano mwingine ni mamboga mboga ya bustani ya kumwagilia.
 
Binafsi nikiamua kuanza kulima nitalima na kupanda migomba
f04779e67547e29fbe14865bf90457fc.jpg
 
Karanga hata mim nawaza Sana kuzilima ukiweza hata heka kumi hukos gunia Mia za debe sita na hazihtaj mbolea kama ilivyo kwa mahind! Tatzo sis tunataka sifa za kulima mahind hata km weng wanayalima! Npo songea mahind yameitika mashamban sio mchezo na kwa hii hali inabd serkali iinglie Kati hakuna Bei mwaka huu! Nnavyoona mim mpunga ndio kila kitu ukipata ardh nzur na kukawa na mvua za kuaminika soko liko Waz watu wanakula wali sanaaaa!
 
Back
Top Bottom