Kilimanjaro Music Awards 2012

:tape:Inashangaza sana mikoa mingine ni lazima uwe na dish ndo uone tv zingine lakini kura za wasanii Mnaomba nchi nzima ila kuonesha mashindano mnachaguatv inayoonekana kwene madish na mikoa 6 kwa WATU antena michache mnaacha kupeleka katika tv zenye kuonekana nchi nzima jamani tbl someni ripot ya steadman muone ukweli mnataka kuuza hadi kijijini au mnataka kuuza mjini tu?
 
Hapo ITV, si ndo tumemuona hapo?

Sijawahi muona kwingine.


prof Jay kakua mwishowe.

sinta anatangaza kituo gani cha radio /tv?

Kheeee Djouf kumbe yupo dunia hii?
 
Ivi vitai vipepeo vimezid,..almost every1 lol
 
Huyu Sinta ni nini labda????mmmhhh leo naona nitauliza maswali mengi sanaaaaa
Heheeee 'labda' imenikumbusha 'kwa mfano'...


Kwa mfano huyo ako na Prof ni nani?
 
Hizi miwani za jua naona cku hz ni fasheni
 
Hawa nao wanaboaaaa wamtaje basi aaarrrggghhh
 
Msanii bora wa hiphop,mshindi ni??? Fela mkubwa mwembe wa uwani na prof jay wamtangaza mshindi ni Roma
 
Roma agaaaaaaaain......hooooray!!
 
Roma anazichota,kama 20% mwaka jana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…