Kilimanjaro: Hatimae Baraka Malisa amekamatwa

Kilimanjaro: Hatimae Baraka Malisa amekamatwa

Hii mikogo isiishie kwa BARAKA MALISA hata KIBITI muongee kwa mbwembwe hizi hizi.
 
Kamanda kama yupo kwenye Script rehearsal ya movie nafasi ya ukamanda
 
Rpc cjamuelewa, anaposema wananchi walio jeruhiwa wote waende, lengo nini, ashukuru ulie leta hii habar kila nikisoma cna mbavu, Kweli police Wetu wanajeruhiwa mioyo na kuumia kwa Kazi zao
 
Kamanda tukio moja umepiga mbinja ukipata matukio kumi jamaa yangu sauti itakauka
 
Sikuwahi kujua kuwa ipo siku polisi wa Tanzania anaweza kunifurahisha nikacheka hadi ushuzi unitoke bila ridhaa yangu!
 
Aisee huyu jamaa ndivyo alivyo yaani hana sauti ndogo na huwa ana biti kinyama wamjini huyo sio kama ziro anaeendeshwa na bashite waulizeni mapolisi wa tabora wanamjua vizuri huyo na hapo dar mapolisi wa uwanja wa ndege kabla hajahamia tbr.
 
Nadhani ni HULKA tu kamanda wala hajapaniki
 
Baraka Malisa ni mtu aliekua anatesa sana wananchi wa Kilimanjaro kama Scorpion, Jeshi la Polisi limetoa taarifa kwamba amekamatwa na watu wote waliojeruhiwa na Baraka Malisa waende Kituo cha Polisi Majengo, kama anavyosikika hapo chini.


Anajichanganya mara Baraka kama unatusikia mara amekamatwa
 
Back
Top Bottom