Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,420
- 2,271
Haaaa haaaa haaaa!Mkuu rudisha avatar picha yako ya Michael Jackson thrillerView attachment 1870924
Haaaa haaaa haaaa!Mkuu rudisha avatar picha yako ya Michael Jackson thrillerView attachment 1870924
Miaka ya 80 kwa Jiji la Arusha kulikuwa na mabasi(ordinary) yalikuwa yanatoka saa 10 jioni na yale ya kifahali(luxury) saa mbili usiku kwenda Dar kupitia Moshi.Ingependeza waanze saa 12 jioni na safari nyingine saa 2 usiku.
Tayari kuna mabasi mawili yanakwenda Moshi na Arusha toka Dar Usiku. Na yanajaza hasa mpaka Coaster zinamalizia.
What a good move.
Wa Kwetu Una Nn Na Hao Wamiliki Wa Hizo Guests/LodgesUnaondoka saa 2 usiku saa mbili asubuhi unafika. Unafanya shughuli zako jioni unageuza tena.
Wenye Guest house watapata tabu sana. Usingizi tutamalizia kwenye basi.
TRC tutawaletea msanii wa bongo fleva kila safari msijali tumejipanga kweli kweliSasa naona Ile mbinu ya kuua safari za train ya Moshi to dar to Moshi imeanza. TRC mpoo? Maza upo? Pole Pole sema neno train yetu itapata wapi wateja wa usiku?
Acha uongo.Hiyo zipo kitambo majinjah na newforce kila siku zipo newforce anaanzia tunduma, majinjah anaanzia mbeya uyole, mbeya muda mrefu wanasafari za usiku
Ni sawa ila hiyo njia bwana inawatemi wengi sana, Doma mpaka Mikumi hatari, Mikumi,iyovi,mtego wa simba mpaka ruaha mbuyuni hatari.Kuna hii ruti ya dar mbeya nayo ni muhimu sana kuwe na basi za usiku
Unatomasa tomasa 😀😉Kubwaaaa hiii kwa wazee wa night aafu upande n mtoto mzur pembeni
Hamna mkuu ni kwamba routes za usiku zitaokoa gharama ya Lodges na Guest house.Wa Kwetu Una Nn Na Hao Wamiliki Wa Hizo Guests/Lodges
Innovations is life,Sasa naona Ile mbinu ya kuua safari za train ya Moshi to dar to Moshi imeanza. TRC mpoo? Maza upo? Pole Pole sema neno train yetu itapata wapi wateja wa usiku?
So far hiyo njia ina magari mengi sana yale ya IT,Mbona hiyo ruti safari za usiku zipo siku nyingi. Wanaita hakuna kulala.
Vipi wale wa malori wanao sinzia!?? Nafikiri tumesahau kwann yalifutwa yasitembee usiku ni wachache wanakumbukaWazingatie kikomo cha mwendo na usalama wa abiria
Siku hizi mimi huwa naenda dar na kurudi Ar, japo naunga safari. Nachukua gari za Tanga saa 18:00 hadi Segera, hapo nasubiria gari za Mbeya ...naingia Moshi 05.00.Unaondoka saa 2 usiku saa mbili asubuhi unafika. Unafanya shughuli zako jioni unageuza tena.
Wenye Guest house watapata tabu sana. Usingizi tutamalizia kwenye basi.
HatariiiKubwaaaa hiii kwa wazee wa night aafu upande n mtoto mzur pembeni