Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
- Thread starter
- #41
Hapo kwenye namba 1 unajidanganya wenye maamuzi ya mabadiliko ya nchi ni watanzania wenyewe hata dunia isipoelewa.
Vijana wa Chadema hali zao za kiuchumi sio nzuri hawawezi kutoa 50,000 kila mmoja huo ndio ukweli.
Hamuwezi kuzidi watu 10 ambao mtatatoa 50,000.
Mkuu,
Vijana wa cdm tupo vizuri. Na wale wasiokuwa na uwezo wanachangiwa na walionao. Binafsi siendi ila nimesha mwezesha kamanda mmoja kwenda. Na ninakuhakikishia vijana zaidi ya 50 watapanda mlima bila tatizo.