Kilichonikuta leo lodge

Kilichonikuta leo lodge

Kwan kuanzisha uzi n sh ngap
Sio huyo tu wapo wengi wenye tabia hizo
Nawe ukome kwenda kukaa lodge fikiria ungekuta huyo jamaa anaingia lodge na mama yako mzazi ungekuja kuanzisha mada Jf?
 
Leo baada ya kutoka katika mizunguko yangu nikasema ngoja niende nikamsalimie rafiki yangu yeye anafanya kazi katika lodge moja.

Nilivyomcheki akaniambia bado yuko kazini nimpitie mzee nikatimba hapo kwenye lodge anayofanyia kazi, tukiwa tumekaa pale reception tunapiga story mbili tatu akaja jamaa mmoja anataka room akaambiwa bei akalipa baada ya hapo akapiga simu huku akisema njoo hapa lodge nishalipia room nipo chumba na 112.

Kukaa kidogo mtu anayekuja kuingia kwenye chumba cha huyo jamaa ni mama yake na rafiki yangu. Kwanza yule mama hakutegemea kunikuta pale maana alishtuka balaa kutoka nje alishindwa na kuingia ndani nako ilikuwa shida na mimi bila kujivunga nikamwambia mama shikamoo akaitikia.

Ikabidi aniite nje akaniambia mwanangu naomba unifichie siri mwanangu nisiadhirike huku akitoa wekundu kadhaa akinipatia halafu akazama ndani huku akiniachia maswali huku nje

Sijui yule mama amekosa nini kwa mume wake
nipe namba yake na mm nimpitie mkuu
 
Unaishi mkoa gani? Au wilaya gani? Maana mikoani kuna asili ya kua na sehemu ndogo hivyo kukutana na mtu unaemfahamy ni jambo la kawaida
 
Hayo ni mambo binafsi yakaushie. Wewe ni rafiki tu wa mtoto wake, sio mlinzi wala msemaji wa familia. Ila pia tabia ya kukaa reception za lodge utaona mengi.
 
Na mimi ngoja nitafute rafiki anaefanya kazi lodge niwe nakaa kwa nnje naweza mfumania limama fulani nipate wekundu
 
NILIWAHI KUTANA NA RAFIKI, MFANYAKAZI MWENZANGU MKE WA MTU,SISI TUNATOKA GEST WAO WANAINGIA NA MCHEPUKO WAKE.ALIHAMA KITUO CHA KAZI KWA AIBU,NI WALE WANAWAKE WANA NAFASI KANISANI, STATUS NA POST ZAKE NI ZILE ZA YESU HIVI, MUNGU VILE, NUKUU ZA BIBLIA., HAKOSI MORNING GLORY, MAOMBI NA MAOMBEZI, NK
 
We dogo nona sana, yaani pesa yake umekula na siri haujamtunzia.Kweli ubinadamu kazi.
 
NILIWAHI KUTANA NA RAFIKI, MFANYAKAZI MWENZANGU MKE WA MTU,SISI TUNATOKA GEST WAO WANAINGIA NA MCHEPUKO WAKE.ALIHAMA KITUO CHA KAZI KWA AIBU,NI WALE WANAWAKE WANA NAFASI KANISANI, STATUS NA POST ZAKE NI ZILE ZA YESU HIVI, MUNGU VILE, NUKUU ZA BIBLIA., HAKOSI MORNING GLORY, MAOMBI NA MAOMBEZI, NK
Nnae mmoja anapiga neno hatari mnooo na ana watoto wawili kazaaa na waume za watu wote ..YAANI siku hizi akinionaga hanipi neno ..ni wale wakatoliki wakarismatiki YAANI aliajiriwa nampokea kazini akawa ananiona kanisani ananipiga neno balaaa nimepotea kwenye tungi ...nkamwambia tu karibu ... Endelea na maombi Yako mi niache pombe zangu na Mungu wangu.... Leo ana watoto wawili wote baba tofauti na ni WA waume za watu wa ndoa kabisaaaa..... Na ana mimba changa hatumjui mmimbaji ni nani ..amekuwa mpole Sana ....
 
Back
Top Bottom