Kilichonikuta baada ya kumtafuta ex wangu

Choosen85

JF-Expert Member
Jun 22, 2022
563
1,364
Wakuu mulibwanji?

Huku mambo ni mwagalayoooo.

Leo baada ya miaka 5 ya kuachana kwa matatzo na mtoto wa kinyiramba nimemtext leo kwa mara ya kwanza.
Nilianza kwa kumtext kwamba if i made u cry am sorry akajbu kwa kuuliza we nani nikajtambulisha rasmi tukaanza kuchart akanambia ameolewa yupo moshi. Na ana watoto wawili, akauliza khs mimi nikamjbu sjaoa na sina mpango huo kwasasa.

Kilichofata akaanza lawama nyng sn wakati tuko wote mambo mabaya nliyomfanyia mpk leo yanamuuma sn mi skuwa na maneno mengi zaidi ya kumjbu am sorry na kukubaliana na lawama zote na kustahili kuhukumiwa.

Akanambia ameshanisamehe niwe na amani tu. Nikamshukuru na kumtakia kheri yeye na familia yake ksha nikamwambia ninasktika na kuumia sana kwani.

Amekumbushia mambo yaliyopta wkt mi nimeamua tu leo kumsalimia. Akajbu hapana ye kaonyesha tu hisia zake vile aliumia nikamjbu sawa na nashukuru sn, nikatulia nikashangaa amepga simu nlipopokea tukasalimiana tu na nikamuliza nambie sasa.

Akasema hamna ktu mi nkamwambia basi takucol tommorow nipe muda mumeo aspokuwepo akajbu muda mzuri mchana nikamuaga.

Wakuu huyu ex inaelekea bdo ananihtaji au najdanganya tu?
NB: SIWEZI TEMBEA NAYE TENA NI MKE WA MTU SASA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom