GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,548
- 108,882
Huku nyuma kuna Mtu mmoja aliwahi kuniambia kwamba ni kheri Mtu akakupiga tu Ngumi ya moja kwa moja au Kukutukana tu Tusi la moja kwa moja ujue moja kuliko kuyafanya yote mawili katika mwamvuli wa lugha ya Kidiplomasia kwani yanauma, yanaumiza na maumivu yake huwa ni ya muda mrefu pia.
Akaenda mbele na kuniambia kwamba hakuna kitu kibaya duniani kama pale Wewe unayejiona ni Mbabe au Mkorofi halafu ukamchokoza Mtu ambaye pengine unadhani ni dhaifu Kwako ukiwa na mategemeo makubwa kwamba na Yeye atakurudishia vile vile ili upate chanzo cha Kumdhuru halafu Yeye ( uliyemchokoza ) badala ya kukujibu kwa Shari / Ugomvi badala yake anakujibu kwa Hekima na Busara kwani hilo huwa ni tusi kubwa na baya mno la Kidiplomasia.
Yawezekana Serikali ya Kenya imebobea sana katika matusi ya Kidiplomasia kwani ama hakika kwa Vitendo vya siku za karibuni ambavyo vimefanywa na Serikali ya Tanzania dhidi ya Mifugo na Bidhaa za Kenya usingetegemea kama Wakenya wange hundle hii situation in a diplomatic manner like this badala yake sasa inaonekana kabisa kwamba Serikali ya Tanzania ndiyo imepata aibu na imetukanwa vibaya mno Kidiplomasia.
Vitendo vya Kuwafidia Wafugaji waliopoteza Mifugo yao huku mpaka sasa wakifanya mazungumzo ya kurudisha zile Ng'ombe kadhaa kutoka Tanzania zilizokamatwa katika ardhi yao tofauti na ambavyo Sisi tumefanya kama kutaifisha Mifugo yao na hata Kuchoma moto hadharani ni Tusi la Kutukuka si tu kwa Serikali ya Tanzania bali na kwa Watanzania wote.
Mwisho nimalizie kwa kusema tu kwamba kama Wabobezi wa Diplomasia nchini Tanzania hawatashtuka na kuamka ili kuliingilia hili kati kuna hatari kila siku tukaendelea Kutukanwa Kidiplomasia na si tu Wakenya bali hata Mataifa mengine ambayo yanajielewa. Serikali ya sasa ya Tanzania ipitie upya aina ya Diplomasia yake na isione pia shida / tabu kuomba ushauri kwa Baba wa Diplomasia nchini Tanzania Rais mstaafu wa awamu ya Nne Mzee Jakaya Mrisho Kikwete.
Kosa la Mtu mmoja linatusababishia Watanzania wote katika macho ya Kimataifa tunaonekana ni wa hovyo hovyo. Hapana hili halikubaliki na huyu Mhusika ikiwezekana afundishwe jinsi ya kuishi na Watu hasa Majirani na kuheshimu Uhusiano wa muda mrefu wa Kidiplomasia wa Tanzania na nchi zingine kwani Tanzania siyo Kisiwa na ipo siku hawa hawa ambao leo tunawachokoza tutawahitaji kwa namna moja au nyingine. Namwomba abadilike upesi sana na ikiwezekana hata huu uzi wangu apewe wote kama ulivyo ausome ili ayajue mapema mapungufu yake Kimataifa. Tumechoka and We need peace in East Africa please!!!!!!!
GENTAMYCINE ni kama Bahari ambayo siku zote huwa haikai na uchafu halafu sijazoe Unafiki bali nanyoosha tu hata kama ni Kipenzi changu au ni Adui yangu.
Nawasilisha.
Akaenda mbele na kuniambia kwamba hakuna kitu kibaya duniani kama pale Wewe unayejiona ni Mbabe au Mkorofi halafu ukamchokoza Mtu ambaye pengine unadhani ni dhaifu Kwako ukiwa na mategemeo makubwa kwamba na Yeye atakurudishia vile vile ili upate chanzo cha Kumdhuru halafu Yeye ( uliyemchokoza ) badala ya kukujibu kwa Shari / Ugomvi badala yake anakujibu kwa Hekima na Busara kwani hilo huwa ni tusi kubwa na baya mno la Kidiplomasia.
Yawezekana Serikali ya Kenya imebobea sana katika matusi ya Kidiplomasia kwani ama hakika kwa Vitendo vya siku za karibuni ambavyo vimefanywa na Serikali ya Tanzania dhidi ya Mifugo na Bidhaa za Kenya usingetegemea kama Wakenya wange hundle hii situation in a diplomatic manner like this badala yake sasa inaonekana kabisa kwamba Serikali ya Tanzania ndiyo imepata aibu na imetukanwa vibaya mno Kidiplomasia.
Vitendo vya Kuwafidia Wafugaji waliopoteza Mifugo yao huku mpaka sasa wakifanya mazungumzo ya kurudisha zile Ng'ombe kadhaa kutoka Tanzania zilizokamatwa katika ardhi yao tofauti na ambavyo Sisi tumefanya kama kutaifisha Mifugo yao na hata Kuchoma moto hadharani ni Tusi la Kutukuka si tu kwa Serikali ya Tanzania bali na kwa Watanzania wote.
Mwisho nimalizie kwa kusema tu kwamba kama Wabobezi wa Diplomasia nchini Tanzania hawatashtuka na kuamka ili kuliingilia hili kati kuna hatari kila siku tukaendelea Kutukanwa Kidiplomasia na si tu Wakenya bali hata Mataifa mengine ambayo yanajielewa. Serikali ya sasa ya Tanzania ipitie upya aina ya Diplomasia yake na isione pia shida / tabu kuomba ushauri kwa Baba wa Diplomasia nchini Tanzania Rais mstaafu wa awamu ya Nne Mzee Jakaya Mrisho Kikwete.
Kosa la Mtu mmoja linatusababishia Watanzania wote katika macho ya Kimataifa tunaonekana ni wa hovyo hovyo. Hapana hili halikubaliki na huyu Mhusika ikiwezekana afundishwe jinsi ya kuishi na Watu hasa Majirani na kuheshimu Uhusiano wa muda mrefu wa Kidiplomasia wa Tanzania na nchi zingine kwani Tanzania siyo Kisiwa na ipo siku hawa hawa ambao leo tunawachokoza tutawahitaji kwa namna moja au nyingine. Namwomba abadilike upesi sana na ikiwezekana hata huu uzi wangu apewe wote kama ulivyo ausome ili ayajue mapema mapungufu yake Kimataifa. Tumechoka and We need peace in East Africa please!!!!!!!
GENTAMYCINE ni kama Bahari ambayo siku zote huwa haikai na uchafu halafu sijazoe Unafiki bali nanyoosha tu hata kama ni Kipenzi changu au ni Adui yangu.
Nawasilisha.